Habari zenu wakuu, kama title ilivyo hapo juu nimejichanga ili nifungue duka/goli la nguo kariakoo. Mtaji wangu ni 15m (huenda kwa kkoo ni ndogo lakini nimeona niende hukohuko angalau kwa siku watapita wateja wawili watatu kuliko kuanzia huku mtaani ambako naona biashara ni ngumu sana) changamoto nimeshindwa kuamua nijikite nguo za kiume au za kike?
Naomba wenye uzoefu na mitaa hiyo mnishauri kutokana na soko ni zipi zinatoka zaidi maana hali ni tete nisingependa kupoteza hata hiki kidogo nilichonacho.
Pia kuna mdau amenishauri kuliko nguo ni bora nifungue hardware ya vifaa vya umeme....kwa ufupi ndugu zangu sielewi nichague kipi kati ya hivi. Ushauri wenu muhimu sana ndugu zangu.
Nawasilisha.
Naomba wenye uzoefu na mitaa hiyo mnishauri kutokana na soko ni zipi zinatoka zaidi maana hali ni tete nisingependa kupoteza hata hiki kidogo nilichonacho.
Pia kuna mdau amenishauri kuliko nguo ni bora nifungue hardware ya vifaa vya umeme....kwa ufupi ndugu zangu sielewi nichague kipi kati ya hivi. Ushauri wenu muhimu sana ndugu zangu.
Nawasilisha.