Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Habari wana jukwaa
Lengo la kuanzisha uzi ni kupeana mbinu na maujanja katika biashara hii maana ni mwaka sasa nipo kwenye hii biashara lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa nane nlianza mkakati wa kufungua studio kwa hivi sasa nina:
*Camera 1 Nikon D3200
*Canon passport size printer
*Panasonic video camera 1 inatumia DV
*Camera stand 1
*Computer 1 (Desktop)
Studio ipo Mkiu, Mkuranga
Hivyo naomba ushauri kuanzia production tools, softwares n.k
Nawasilisha
Lengo la kuanzisha uzi ni kupeana mbinu na maujanja katika biashara hii maana ni mwaka sasa nipo kwenye hii biashara lakini kuanzia mwanzoni mwa mwezi wa nane nlianza mkakati wa kufungua studio kwa hivi sasa nina:
*Camera 1 Nikon D3200
*Canon passport size printer
*Panasonic video camera 1 inatumia DV
*Camera stand 1
*Computer 1 (Desktop)
Studio ipo Mkiu, Mkuranga
Hivyo naomba ushauri kuanzia production tools, softwares n.k
Nawasilisha