Mku uwakala ni second hand project hyo, huwez kurun life kwa kutegemea miala ya fedha, unless uwe giant firm, utakula mtaji soon, pia kupata eneo lenye wateja wengi lazima uvunje kibubu cha kodi ya eneo....bado hujapigwa chuma ulete, matapeli wa mtandao, kukosea miamala, matapeli wa voda, tigo, airtell huko makao makuu, na itakuforce ufunge mapema kuepuka kusasambuliwa kibanda chako na panya road
Boda inalipa sana, huku Mwanza wadau kibao wanajenga nyumba za kisasa kupitia boda aisee, mtu kulala na 20k mpak 50k per day ni kugusa tuu.....
Anza na boda kisha uwakala, kwenye uwakala mweke mtu wa karbu zaid, notably your wife..
japo in the longrun uwakala ni mzur, ukilink na uwakala wa mabenki na uwe na high security, in the short run boda ni nzur kuanza nayo
Kila raheli mkuu