MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habarii wadauu natumaini mko poa.
Nimeandika kwa haraka ila nita edit baadae.
Hivi karibuni kuna mtu aliniulizaa kuhusu biashara ya pool table akaanza kunielezea ila kiukwelii nilikuwa sijuii kiundani.
Ila ningependa kujua jinsi pool table inaweza fanya ukaishi kwa faida.
Bei? Bei ya pooltable zima.
Usajili wake? Mfano lazima uwe na leseni.
Faida kwa week?
Hasara zake.
Kama unajua kiundani kabisaa nitashukuru.
Nimeandika kwa haraka ila nita edit baadae.
Hivi karibuni kuna mtu aliniulizaa kuhusu biashara ya pool table akaanza kunielezea ila kiukwelii nilikuwa sijuii kiundani.
Ila ningependa kujua jinsi pool table inaweza fanya ukaishi kwa faida.
Bei? Bei ya pooltable zima.
Usajili wake? Mfano lazima uwe na leseni.
Faida kwa week?
Hasara zake.
Kama unajua kiundani kabisaa nitashukuru.