Biashara ya printing inalipa?

Biashara ya printing inalipa?

Asante kwa ushauri, Dah hii mashine najiulizaga kila siku wino mbona hauishi tu 😂😂

kwa kopi hizo 6,500 za rangi na 13,000 black and white wacha watu wale maisha.

Wino sio changamoto asante kwa bei rafiki ya buku 3 hadi 5 kwa kachupa ka wino, Ni gharama karibu na sifuri kuihudumia hii mashine ukilinganisha na faida utayopata endapo utaitumia kwenye biashara,

Pia kwa wenye bajeti finyu kuna huyu mjuba nae yupo fresh tu. nmechukua picha kutoka duka la "discount kubwa" lipo kariakoo

View attachment 1641707
hp sitaki ata kumsikia
 
Wakuu wajasiliamali mambo ni vipi? Tukiendelea na hustles za kila siku leo nmekuja na hii.,,

Nimebahatika kupata printer mpya kabisaa buree brand ni EPSON L850 ina uwezo wa kuprint coloured, photo, kuscan na kutoa copy.

Sasa nikakumbuka na dogo langu ana goli karibu na chuo huko mkoani nataka ipeleka ikapige kazi kuliko niuze bora nizalishie.

Kwa wataalam wa hii biashara naombeni msaada na maelezo juu ya hii plan yangu. Bei elekezi na vifaa vyake kama wino nk.

Pia inatumia network (internet)
Mkuu weka picha ka printer 🖨️ tuionee...
 
Back
Top Bottom