A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,135
- 1,574
Ndg mimi nipo moshi nimesema kilo nanua kwa 200 ila hata wewe ukiniambia unapopatikana pia naweza fuata mzigo mwenyewe.Toa bei na mahari ulipo tujue ghalama ya usafilishaji
Toa bei na mahari ulipo tujue ghalama ya usafilishaji
Uko na mziko ndg.
Ndg wewe unauzaje na ni nyeupe na inachakula mimi nataka tani 33 kama unayo niambie tufanye biashara mkuu.Ninao nipo kiteto bei ndogo utaka kiasigani
Ninao nipo kiteto bei ndogo utaka kiasigani
Mkuu nitajie bei yako tufanye biashara.Ninao nipo kiteto bei ndogo utaka kiasigani
Nimekuja pm na nimekupa namba ndgNaomba namba zako au njoo pm tufanye biashara
Unaweza nicheki muda huu mkuu.Naomba namba zako au njoo pm tufanye biashara
Hiyo ni bei ya jumla au reja reja mkuuPumba kwa sasa kwa hapa dar imepanda bei ndugu, gunia ni sh 21000 wastani wa debe 7. Hivyo hapo bila tsh 310 huwezi kupata pumba yenye kiwango
Ukiwa aje mkuuYaan nilifanya resech kuwa nikiwa
Nilifanya reseach kuwa nikiwa na mtj wa ml 5 naweza nikaingz ml 5 faida ndani ya miez 4 nikiwekeza kwenye nguruwe..
Kama una ml 2 na mimi naweka mbil tufanye hyo kazi nguruwe ina lipa na soko lake lipo