A man with no name
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 1,135
- 1,574
Habari za muda huu wanajukwaa,
Naomba kama kuna mtu anayo pumba ya mahindi au anafahamu wapi inapatikana kwa wingi naomba anifahamishe
Naitaji Pumba ya mahindi yenye sifa hizi
[emoji666]Nyeupe isiwe imevunda
[emoji666]iwe imekauka kabisa isiwe na unyevu unyevu
[emoji666]iwe na chakula cha kutosha
Kilo nanunia kwa shilingi 200 maongezi yapo pia. Kama uko nayo naomba uje pm tufanye biashara.
Niweka uzi wa kwanza naona umetolewa sijui tatizo ni lipi ila naomba Moderator msiutoe tena uzi huu.
Karibuni kwa mjadala
Naomba kama kuna mtu anayo pumba ya mahindi au anafahamu wapi inapatikana kwa wingi naomba anifahamishe
Naitaji Pumba ya mahindi yenye sifa hizi
[emoji666]Nyeupe isiwe imevunda
[emoji666]iwe imekauka kabisa isiwe na unyevu unyevu
[emoji666]iwe na chakula cha kutosha
Kilo nanunia kwa shilingi 200 maongezi yapo pia. Kama uko nayo naomba uje pm tufanye biashara.
Niweka uzi wa kwanza naona umetolewa sijui tatizo ni lipi ila naomba Moderator msiutoe tena uzi huu.
Karibuni kwa mjadala