Biashara ya real estate tanzania


Kaka mbona una complicate sana mambo? Kwa jinsi maelezo yako yalivyo complicated, nakubaliana na maneno ya mtu mmoja mwenye hekima, alisema " I WILL ALWAYS CHOOSE A LAZY PERSON TO DO A DIFFICULT JOB. BECAUSE HE WILL FIND AN EASY WAY TO DO IT ". Mtu anataka kuanzisha REALESTATE BUSINESS unatoa masharti yote hayo kaka? Do u realy know what business is? ( Not Alone Real Estate Business? )...

Coming back kwa mtoa uzi. Do the following. 1.Be Legal ( Registar ur biznez, licence & T.R.A ) . 2. Tafuta ofisi ( kama una mtaji mdogo unaweza kuanza hata na ki frame /Kama mtaji ni mdogo sana, unaweza kuifanya ukiwa nyumbani kwako ) 3. Tafuta watu wanaouza nyumba, mashamba na wanao pangisha nyumba na vyumba. ( Kama mtaji wako ni mdogo, nakushauri uanze na vyumba vya kupangisha... 4. Ukishapata at leat vyumba kuanzia kumi, jitangaze,( unaweza kuanza kwa kutangaza mitandaoni ). U will get a lot of customers. ( WATEJA HUWA NI WENGI KULIKO BIDHAA )..Unaweza kuanzia hapo, mambo mengine utayafahamu ukiwa kwenye biznez tayari.
 

Great....!!
 
Biashara ya real Estate ni biashara yenye wigo mkubw sana,,, Binafsi naifanya biashara hiijapokuwa katika kiwago cha chini kidogo na ninaendelea kukua katika biashara hii,,,, kwa sasa nimenunua maeneo, nimeyapimisha na nauza viwanja sasa. Oili nimeanza kujenga nyumba ambazo baada nitazipangisha au kuuza kabisa
 
mkuu namimi nataka kuanza hii ndo nipo kwenye mchakato wa kupima heka 18 kuwa viwanja.nafikiria kufungua kampuni ili viwe chini ya kampuni,je vyako uliuza kama kampuni au mtu binafsi
 
Vijana wote wangekuwa na moyo wa kusaidia maelezo kama wewe basi mambo yangekuwa mazuri sana kwa vijana, vizuri kupeana moyo wa kuanza kitu kama hivi. Salute you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…