Baba Ivan wa neema
Member
- Jul 25, 2018
- 12
- 4
Salun inakua na faida pale ww mwenyewe ukiwa kinyozi lakini ukiweka wafanyakazi ni shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Lzm nitafute sehem yenye watejaElfu 30000 kwa siku,inabidi saloon iwe sehemu iliyochangamka hasa.
Hapo tafuta kijana umkabizi salun mkubaliane hela kila wiki lakini nikua karibu nae maana vinyozi wengi sio waminifu akikosa hela anachukua machine na vitu vidovidogo kwenye salun.nafanya biashala hii kwa miaka mingi.Mm ni ngumu kusimamia kutokana na majukim kwa hy nataka nimpe Uhuru wa kufany kz na awe na maleng kuw mwish wa siku atakuja kimilik
Sent using Jamii Forums mobile app
OK nimekuelew ila nilikuw na zungumzia saloon ya kikeHapo tafuta kijana umkabizi salun mkubaliane hela kila wiki lakini nikua karibu nae maana vinyozi wengi sio waminifu akikosa hela anachukua machine na vitu vidovidogo kwenye salun.nafanya biashala hii kwa miaka mingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan mtaji wa milion 3 kwa mwezi unapata faida laki mbili. Hiyo sio biashara broo. Unatumia pesa yako kuwaajiria wengine. Sifanyi biashara kichaa kama hiyo. Si bora ninunue ubbermimi ninayo ya kawaida mtaji kama m3.{kodi inclusive
aisee ni bungua bongo....wananipa 60 kwa wiki!
mwanzoni ni lazima uwe karibu kuangalia mapato!
Pili,vijana wengi sana wanaofanya kazi hiyo upeo wao ni mdogo mno wana tamaa na hawaaminiki ...umakini wa hali ya juu unahitajika kuwachagua na kuwafuatilia
Hata hivyo ukiridhika inafaa kupatia hela ya mboga za majani
Hata elf 18 ipo mpa 140sema standarfMashine ya kunyolea inauzwa bei gani?
Kufungua sio tatzo but tatzo huja kwa wafanya kazi ni wasumbuf hatari na mfanyakaz ukitaka muweza kidoooogo napo sio sana mwambie posho jikadilie but kuumizwa kuko pale paleHabar wa wakuu,!!
Mimi ni mjasiriamali ilhali nafanya kazi, nimebuni mrad wa saloon na nipo katka hatua ya mwisho kukamilisha, so ningependa kujunzwa mwenye uelewa kwa upande wa hiyo biashara, ni changamoto zip zilizopo katika bisha hiyo? Na ni Jina ngan niandike ili liwe na mvuto kwa wateja? Pls maon yenu wakuu ntayafanyia kaz,
Natanguliza,
HakikaAsante mleta uzi nashukuru Kuna kitu nimejifunza kuhusu biashara hii
Ndo kichwa cha alokuleta katika sayali hiiSaloon ndio nn?
Tafuta eneo lenye mzunguko na saloon chache pili bola ya kiume plesha so nyingi ya kike utalea familia ya mwenzio na akajenga akat we unalia kwa kulalamika also liblary ni mazngira piaaa na inalipa pia kutegemea eneoNina swali wakuu kwa mtaji wa 1M eti salon gani nzuri kati ya kike na kiume.
Swali laniongeza je kati ya salon na library ya kukodisha CD yepi bora kifanya yenye faida kwa mtaji wa 1M.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikutafutie mteja nipate hata 30kNauza vifaa vya salon ya kiume vifuatavyo:
Vioo vyenye frame ya Aluminium vikubwa vitatu 1.29M X1.9M
Mlango wa Aluminium upana wa 1.83M na urefu wa 2.15M
Sofa dogo la watu wawili,
TV ya chogo
Sub woofer ndogo
Kikabati kidogo
Kiti cha kunyolea
Mashine Mbili za kunyolea
Fan kubwa ya Juu
Vyote kwa pamoja nauza kwa 1.5M kimoja kimoja tutaongea.
Tuwasiliane kupitia 0713260545
0767987316
View attachment 877393View attachment 877394View attachment 877395
View attachment 877396View attachment 877396View attachment 877397View attachment 877398View attachment 877399View attachment 877400
Mkuu nikutafutie mteja nipate hata 30k
Hakuna tabu mkuu we mlete tu nitakupoza ya maji, kwakuongezea Location ilipo ni Chamanzi, Dar es salaam.Mkuu nikutafutie mteja nipate hata 30k
SafiHakuna tabu mkuu we mlete tu nitakupoza ya maji, kwakuongezea Location ilipo ni Chamanzi, Dar es salaam.