Fungu la kumi si lazima upeleke kanisani. Kuna wanaohitaji msaada..watoto, wazee, wagonjwa, mayatima, walemavu, maskini. Waweza peleka huko.Kwann fungu la kumi! Akale Gwajiboy?
Upo Sahihi kabisa mtumishi...Fungu la kumi si lazima upeleke kanisani. Kuna wanaohitaji msaada..watoto, wazee, wagonjwa, mayatima, walemavu, maskini. Waweza peleka huko.
**Kwa ninavyo amini mimi.
[emoji120][emoji120]Upo Sahihi kabisa mtumishi...
Uko sahihi piaFungu la kumi si lazima upeleke kanisani. Kuna wanaohitaji msaada..watoto, wazee, wagonjwa, mayatima, walemavu, maskini. Waweza peleka huko.
**Kwa ninavyo amini mimi.
Nahitaji pia ushauri au mawazo yako kwenye hii biashara mkuu,Upo vizuri [emoji119][emoji119]
Na mie natumia fursa hapa kupata maujuzi.Nahitaji pia ushauri au mawazo yako kwenye hii biashara mkuu,
Natanguliza shukan
Oooh basi ngoja tusikilize ushaur kwa wadauNa mie natumia fursa hapa kupata maujuzi.
Mkuu brand ya kunusa k???!!!!!Acha hayo mengine, wivu nilioona mimi ni kwamba Waha wamekuwa branded kama wapaka kucha, kama ambavyo ukisikia Mangi na duka.... hilo tu mlamu zingatia branding achana na harufu.
Mkuu brand ya kunusa k???!!!!!
Nini kimekushinda mpaka unavisukumiza hivo vifaaa.,kama bado hujanunua vifaa, mimi nauza vifaa vyangu nitakuuzia kwa bei nafuu sana ni vizima, nina draya nina steamer nina kioo kikubwa, nina dude lakuoshea nywele kubwa nina trey zile za mabakuri nitakupa na rolaz, nina pasi, nina draya ya mkono nina desk board hata ukitaka viti nitakuuzia pia
Mzee umeongea point kbxSo Saloon ni Salon
Kuna kipindi kumwabia mtu ukweli nakuwa ngum sana ila inabidi.
Hakuna Salon nzuri kama unavyotaka kwa milioni mbili.
Sema nataka Salon ya kwaida uswaznigga hapo sawa.
Maana mfumo wa sasa ni Full aluminum,na mlango wa aluminium si chini ya milioni moja,bado hujaingia ndani kufix.
Unajua pesa kuitamka unaona no nyingi lakini ukiingia kwenye mipango ni ndogo sana,usije ukakurupuka kisha ukaja kukwama na mtaji ukaganda.
Nakushari fungua Salon ya kawaida tu,weka mlango wa mbao,viti vya mbao,weka feni ya kiushkaji hapo itakutoa.
Lakini ukitaka makuu hiyo pesa ni ndogo sana.
Mtu wa kufanya scrub mara nyingi hakuna malipo ya mwezi,huwa analipwa kwa kila kichwa,tatizo ni kwamba ukianza kutafuta mtu aisemjuzi badso hapo biashara itakula kwako,wateja watakimbia,alikni kama ukitafuta mdada mzuri wa kazi hiyo basi unaweza kukuta hata mtu kama hajanyoa hapo anaweza kujakufanya scrub
Ukianzisha hakikisha una mfumo wa ufuatiliaji ili usipigweJaman naomba mwenye kufahamu gharama ya kufungua saloon ya kisasa unatakiwa uwe na mtaji kiasi gani naumba mnisaidie....
Mkuu msaada kama una uzoefu mfumo mzuri ni upi?Ukianzisha hakikisha una mfumo wa ufuatiliaji ili usipigwe
Jiridhishe kwanza maana ya kitu kabla hujakosoa.saloon ni ya gari.hiyo inaandikwa salon au andika kwa kiswahili saluni
Mnaotaka kufungua barbeshop za kueleweka mjipange, hela inatembea sio poa
Ndio mkuu nipo kwenye maboresho ya fremu, tarehe moja inaanza kazi.Vipi mkuu umeshusha dude au sio?
Cctv au ww mwenyewe kuwepo eneo la biashara