Biashara ya salon za kiume na kike


Sterilizer
 
Ukizungumzua barbershop iyo m2 ni ela ya viti viwili tu

Na kama ni spiriti pamba ela iyo inweza kuyeyuka kwenye kodi ya fremu

Hakuna mtu anaweza kuja kwenye saloon ya m2 kufanya scrub kwani itakuwa baada ya kumuosha unamchafua kwa ushauri ni pm

Saloon ni kazi yangu. Yeyote mwenye wazo kama ilo anicheck ntamsaidia
 
mimi sio mbwiga mdau wangu
lkn poa nimekuelewa ,tuache malumbano .hayana mpango
vp hyo biashara ya kunyoa nywele za kichwani, inalipa mkuu?

Napenda Sana Watu Wanaosalimu Amri Kwa GENTAMYCINE Kama Wewe Na Kutaka Amani Nami Nimetulia Sasa Kwani Nilijua Ungetaka Ligi na Mimi! Mkuu Hiyo Biashara Inalipa Sana Tena Haswa Ukiiweka Sehemu Ambayo Ina Mzunguko Mkubwa Wa Watu Na Upate Vijana Mafundi Haswa Wa Kunyoa Hakika Hutojutia Uwekezaji Wako na Utafaidika Sana Na Kuhusu Mtaji Nadhani Kitu Kama Milioni Tano Zatosha Kwa Kuanzia.
 
mimi ni member kama wewe wala sina mamlaka ya kukuamuru, nilikuwa nakushauri tu!
Sote tunapita hapa, nisamehe kwa kauli zangu kiongozi
nimekupenda bure
pamoja sana

Mbona Nimeshakujibu Mkuu Majigo Na Mimi Nipo Powa tu Na Wewe? Tupo Pamoja Sana Na Ondoa Shaka!
 

Hahahaha ukishawatibu watu wako, tafazali wapitishie kwangu niwaondolee maumivu.
 
Kwakuwa ni mgeni nakusaidi baadhi ya vitu unapotaka kupata msaada humu,la sivyo mwaka utafika hujajibiwa.
Pia uzi kama huu umo humu pia.Pia ni Salon na sio Saloon
Kwanza sema upo maeneo gani ya nchi
Pia weka kima cha juu cha mtaji wako na cha chini
Maana Salon unaweza kuanzia hata Elfu kumi tu,ukatafuta kibaraza na viwembe ukaanza kunyoa watu.
Na zipo Salon kuanzia Milioni mbili mpaka Milioni Hamsini
 

Sawa kabisa na mimi,niko,na wazo kama la jamaa ila mimi mtaji wangu ni 1million( I have 2 machine) na niko mwanza
 
Sawa kabisa na mimi,niko,na wazo kama la jamaa ila mimi mtaji wangu ni 1million( I have 2 machine) na niko mwanza

Tatizo la watu wengi si wagunduzi wa mambo,kila anayefungu saloon ananyoa nywele za kichwani na ndevu,kwann wewe usigundue stayle yako ya kunyoa kwingine,?nywele zipo sehemu nyingi tu za mwili,jaribu hii itakusaidia na wateja utapata wengi sana. Kunyoa kule kuna lipa sana wakuu
 
Sawa kabisa na mimi,niko,na wazo kama la jamaa ila mimi mtaji wangu ni 1million( I have 2 machine) na niko mwanza

Hiyo ni Barber shop ndugu, salon zaidi ni kwa za kujiremba akina mama.
Fanya uchunguzi mwenyewe kwanza kwa kufanya upembuzi yakinifu ukipitia maeneo yenye Barber shop na kisha ulizia bei za vifaa. Bei za vitendea kazi hutofautiana inategemea unavipata toka kwa mchina vilivyo cheap au toka nchi za magharibi ambako ni ghali.



Vitu muhimu unavyohitaji katika ujasirimali ni hivyo, na kingine chumba cha kufanyia kazi.
  • Fanya tathmini ya bei ya vifaa hivyo
  • Fanya tathmini ya bei ya rent ya chumba
  • Tathmini ya gharama za utakaowaajiri.
Ukifanikisha hilo ni full business plan yako imekamilika.
 

Hawa ndio waTanzania wetu,kwa akili hizi utaacha kuandamana kweli?
Sidhani kama ni Logic kumjibu mtu namna hiyo,hii ni dharau,lakini huyo mwenye hiyo pesa yake ndogo unaweza kukuta akakupita kama umesimama.Heshim mawazo ya wenzio.Ukimshauri mtu humu na akafanikiwa Basi jua hutolipwa humu JF ila mungu anakuwekea fungu Lango.
 
Wakuu naomba mwenye ufahamu na biashara ya salon ya kunyoa ya kawaida anisaidie mambo kadhaa.Ninafikiria kutafuta sehemu hapa dar kuanzisha salon.Nimefanya analyisis ya vifaa vya bei ya kawaida nikapata kama ifuatavyo. Mashine mbili za kunyolea shilingi 200000, viti viwili shilingi 300000, stairizer (sina hakika na spelling) shilingi 120000, pango la chumba miezi sita shilingi 300000,kiti kwa ajili ya wateja kusubiri/kupumzika shilingi 120000.kioo shiling 100000 redio shilingi 150000. Naomba kujua ya fuatayo kwa wenye ufahamu na hii biashara. Ukimtafuta kijana wa kufanya kazi malipo huwa yakoje?, Kama umepata sehemu nzuri je unakuwa unapata shilingi ngapi kwa siku/wiki au mwezi?.
 
Mimi pia nategemea mawazo ya watu ktk uzi huu coz nipo njiani kuanzisha biashara hii very soon!
 

Naku-PM soon juu ya hili swala mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…