Biashara ya samaki maji baridi wabichi (perege,kambale na kamongo) Dar es salaam

Biashara ya samaki maji baridi wabichi (perege,kambale na kamongo) Dar es salaam

Mildotty

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2016
Posts
278
Reaction score
198
Habarini wanajamvi, Ni matumaini yangu kuwa nyote mnaendelea vizuri.

Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu mimi ni mdau mkubwa wa biashara ya samaki wabichi hawa na ninatamani sana kuingia sasa rasmi katika biashara hii.

Naombeni kujua changamoto ya biashara tajwa hapo juu hasa kuanzia mtoni zinakovuliwa, Usafirishaji wake njiani na baada ya mzigo kufika sokoni na namna za kukabiliana na changamoto hizo.

Karibuni wadau tuweze kubadilishana mawazo hapa na kupeana mbinu imara katika kuimarisha uchumi wetu hasa kuhusu soko la hawa samaki wabichi na jinsi ya kubuni mbinu mpya za uendeshaji wa biashara hii ili kuweza kuendana na kasi ya technologia ya sasa!

Natanguliza shukrani zangu![emoji120]


Kwa mahitaji pia ya samaki hawa wabichi (Perege, kambale na kamongo) kwa bei ya Jumla(kuanzia kg 5) au rejareja unaweza kunitxt kwa namba zifuatazo

watsap 0672323369
kupiga 0625723669
 
Pale mdau mkubwa anapouliza swali kwenye jambo alilobobea hapo inaleta shida kuelewa kwakweli.
 
Pale mdau mkubwa anapouliza swali kwenye jambo alilobobea hapo inaleta shida kuelewa kwakweli.
Mkuu labda sijaeleweka tu vizurii ila naamanisha ni biashara ambayo huwa ninatamani sana kuifanya!
 
biashara ni nzuri inalipa kiasi chake ila kabla hjaenda kufata mzigo ni vizuri ukawa umepata hoda kabxa kutoka kwenye mabucha tembelea ubungo na tandika ndo kuna mabucha meng
 
biashara ni nzuri inalipa kiasi chake ila kabla hjaenda kufata mzigo ni vizuri ukawa umepata hoda kabxa kutoka kwenye mabucha tembelea ubungo na tandika ndo kuna mabucha meng
 
Mkuu labda sijaeleweka tu vizurii ila naamanisha ni biashara ambayo huwa ninatamani sana kuifanya!
mkuu kabla hatjaendlea je umeshapata soko i mean umexhapta bucha kwa ajili ya kumuuzia huo mzgo coz biashara ya samaki wabichi inafanyika kwa mtindo wa oda hwezi kutoka xhamb na mzgo wako ukatgemea utauza hapo mkuu lazma ulie
 
biashara ni nzuri inalipa kiasi chake ila kabla hjaenda kufata mzigo ni vizuri ukawa umepata hoda kabxa kutoka kwenye mabucha tembelea ubungo na tandika ndo kuna mabucha meng
Mkuu ahsante sana Ubarikiwe kwa mchango wako!!
 
Back
Top Bottom