KICHWA BOX
Member
- Feb 21, 2015
- 21
- 0
Habari wakuu wa hili jukwaa,
Nina capital ya laki tano mbali na usafiri (Mwanza-Dodoma) malazi na and dharura nahitaji kufanya biashara ya sato waliokaangwa kutoa mwanza kupeleka Dodoma sina mtaji mkubwa wa kuhandle cost za freezer na frame ndiyo maana nafikiria kuuza hao Sato waliokwisha kaangwa.
Naomba ushauri wenu juu ya masoko kwa maeneo ya Dodoma,changamoto za biashara hii pia kama ntapatata order ya mtu au hotel ntafurahi pia. Jiskie huru katika kusema lolote lile ili mradi liwe katika kujenga.
Nawasilisha
Nina capital ya laki tano mbali na usafiri (Mwanza-Dodoma) malazi na and dharura nahitaji kufanya biashara ya sato waliokaangwa kutoa mwanza kupeleka Dodoma sina mtaji mkubwa wa kuhandle cost za freezer na frame ndiyo maana nafikiria kuuza hao Sato waliokwisha kaangwa.
Naomba ushauri wenu juu ya masoko kwa maeneo ya Dodoma,changamoto za biashara hii pia kama ntapatata order ya mtu au hotel ntafurahi pia. Jiskie huru katika kusema lolote lile ili mradi liwe katika kujenga.
Nawasilisha