NjavikeSoftcom
New Member
- Apr 16, 2023
- 4
- 1
Habari wakuu,
Najaribu kutafuta biashara salama ya kufanya ambayo itanipa Mzunguko Mzuri.
Nimefikiria kuhusu biashara ya used simu kutoka Dubai / Europe , changamoto ni sina experience na sijui naanzia Wapi .
Nahitaji Msaada kujua soko likoje na upatikanaji wa bidhaa zake !
Au kama kuna mapendekezo ya biashara salama na nzuri zaidi napokea mapendekezo..
Asanteni.
Najaribu kutafuta biashara salama ya kufanya ambayo itanipa Mzunguko Mzuri.
Nimefikiria kuhusu biashara ya used simu kutoka Dubai / Europe , changamoto ni sina experience na sijui naanzia Wapi .
Nahitaji Msaada kujua soko likoje na upatikanaji wa bidhaa zake !
Au kama kuna mapendekezo ya biashara salama na nzuri zaidi napokea mapendekezo..
Asanteni.