Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Habari wapendwa wangu,
Nina mpango wa kuanzisha shule ya awali kuanzia miaka 2 mpaka 5 maeneo ya Tabata.. Naomba kufahamu changamoto, faida na mchanganuo wa gharama ya kufanya hii biashara..Mimi kwa sasa ni muajiriwa...Niko serious kama unajua huwezi kunishauri we pita tu...
Asanteni...
Nina mpango wa kuanzisha shule ya awali kuanzia miaka 2 mpaka 5 maeneo ya Tabata.. Naomba kufahamu changamoto, faida na mchanganuo wa gharama ya kufanya hii biashara..Mimi kwa sasa ni muajiriwa...Niko serious kama unajua huwezi kunishauri we pita tu...
Asanteni...