KIGOMA ONE
Member
- Aug 19, 2013
- 35
- 12
Wadau kwa heshma na taadhima naombeni ushauri kuhusu biasha ya sim.
1.Nina mtaji wa 25,000,000 baada ya kulipia frem je naweza anza biashara ya kuuza sim reja reja na jumla?
2.Nini changamoto za biashara ya sim?
3.Wapi naweza pata mzigo kwa bei nzuri ili niweze pata faida?
4.kodi yake ya mapato na lessen ya biashara vita nigharim kiasi gani?
5.je niuze jumla au leja leja?
6.vipi kuhusu taratib za kwenda nje ya nchi kibiashara zipoje?..
Naomba kuwasilisha.
1.Nina mtaji wa 25,000,000 baada ya kulipia frem je naweza anza biashara ya kuuza sim reja reja na jumla?
2.Nini changamoto za biashara ya sim?
3.Wapi naweza pata mzigo kwa bei nzuri ili niweze pata faida?
4.kodi yake ya mapato na lessen ya biashara vita nigharim kiasi gani?
5.je niuze jumla au leja leja?
6.vipi kuhusu taratib za kwenda nje ya nchi kibiashara zipoje?..
Naomba kuwasilisha.