Biashara ya simu used kutoka Dubai

Biashara ya simu used kutoka Dubai

Mrage Hemedi

Member
Joined
May 8, 2019
Posts
13
Reaction score
7
Habari Ndugu Zangu

Nataka Kufanya Biashara ya Simu used Kutoka Dubai, Naomba msaada wa vitu vifuatavyo.

1. Jinsi ya kupata connection ya kuagiza vitu hivyo Kutoka Dubai

2. Mtaji unaohitajika (Kima Cha chini ya Mtaji)

3. Je, Biashara hii Ina Faida nzuri?
 
Habari Ndugu Zangu
Nataka Kufanya Biashara ya Simu used Kutoka Dubai,Naomba msaada wa vitu vifuatavyo
1. Jinsi ya kupata connection ya kuagiza vitu hivyo Kutoka Dubai

2. Mtaji unaohitajika (Kima Cha chini ya Mtaji)

3. Je Biashara hii Ina Faida nzuri???
Neenda Chinese plaza utapata mzigo na njia sahihi ya hiyo biashara.
 
Habari Ndugu Zangu

Nataka Kufanya Biashara ya Simu used Kutoka Dubai, Naomba msaada wa vitu vifuatavyo.

1. Jinsi ya kupata connection ya kuagiza vitu hivyo Kutoka Dubai

2. Mtaji unaohitajika (Kima Cha chini ya Mtaji)

3. Je, Biashara hii Ina Faida nzuri?
Ukipata details nitag mkuu soon nalaunch duka makumbusho
 
Back
Top Bottom