allyramadhani67
Member
- Apr 20, 2014
- 20
- 10
Simu used zinapatika nchi zote za dunia ya kwanza. Bongo wengi wanachukuwa nchi za kiarabu hasa Dubai.Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku...
Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwemu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara.
Sijajua wafanya biashara wa kariakoo wanazito wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote kariakoo hawezi kukwambia ukweli atakuzungusha zungusha Tu na kukwambia mtaji wa hela nyingi ili ukate tamaa
🙏Subiri muongozo mkuu
Ulikuwa unanunulia Bongo? Hiyo ni hatari sana sana. Simu unatakiwa uzifuate mwenyewe nje ya nchi.Nilifanya biashara ya simu used nlipigaga sana hela sema sasa unakuwa kama jambazi one mistake staki shari hii hapa niliiacha baada ya wanangu kama wawili kwenda segerea mpaka leo na mie kuponyoka kwenye tundu la sindano
Ok. Sasa huko Mzee mtaji lazima ujipange kuna nauli ya kukwea pipa na macost mengine kibaoSimu used zinapatika nchi zote za dunia ya kwanza. Bongo wengi wanachukuwa nchi za kiarabu hasa Dubai.
😃😃 boss ulikuwa Una nunua simu used za bongo nyingi za wizi pole sana ndio changamoto za upambanajiNilifanya biashara ya simu used nlipigaga sana hela sema sasa unakuwa kama jambazi one mistake staki shari hii hapa niliiacha baada ya wanangu kama wawili kwenda segerea mpaka leo na mie kuponyoka kwenye tundu la sindano
Shukrani boss tupo pamojoAnzia Zanzibar, kama unawadau wako nirahis
Ukihitaji ya mmoja wapo mfanye biashara nicheki
Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku. Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwenu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara.
Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo hawezi kukwambia ukweli atakuzungusha zungusha Tu na kukwambia mtaji wa hela nyingi ili ukate tamaa.
Kwa nini mlikuwa mnawindwa kama jambazi mkuu au mlikuwa mnanunua na kuuza simu za wizi?Nilifanya biashara ya simu used nlipigaga sana hela sema sasa unakuwa kama jambazi one mistake staki shari hii hapa niliiacha baada ya wanangu kama wawili kwenda segerea mpaka leo na mie kuponyoka kwenye tundu la sindano
Hicho ni kipengele ambacho hukijui kwani si kila atauekuuzia simu unamjua na ni mwema.kwenye simu used kuna michezo mingi sana michafu niishie hapoKwa nini mlikuwa mnawindwa kama jambazi mkuu au mlikuwa mnanunua na kuuza simu za wizi?
Sawa nilitaka kujua tu kipengele kinachosababisha muwindwe ila nishakuelewa.Hicho ni kipengele ambacho hukijui kwani si kila atauekuuzia simu unamjua na ni mwema.kwenye simu used kuna michezo mingi sana michafu niishie hapo