allyramadhani67
Member
- Apr 20, 2014
- 20
- 10
Habari wapambanaji wa kutafuta ugali wa kila siku. Mpambanaji mwenzenu nimekuja kwenu mnijuze wapi naweza pata simu used za halali sio za wizi Kwa bei ya jumla nami nikafanya biashara.
Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo hawezi kukwambia ukweli atakuzungusha zungusha Tu na kukwambia mtaji wa hela nyingi ili ukate tamaa.
Sijajua wafanya biashara wa Kariakoo wanazitoa wapi na ukijaribu kumuuliza mfanya biashara yeyote Kariakoo hawezi kukwambia ukweli atakuzungusha zungusha Tu na kukwambia mtaji wa hela nyingi ili ukate tamaa.