jamani hii biashara ni biashara ya maajabu watu maarufu duniani wameirecomend hii biashara kwa maana ndio biashara pekee inayosemekana kuzalisha mamilionea wengi duniani kufikia 2015.kuna professor anaitwa Paul Zane Pilzzer ambaye ni mshauri wa kiuchumi wa rais wa marekani,canada na france amei rrecomend hii biashara.biashara hii inawawezesha watu wenye vipato vya chini kujikwamua na kuwa na maisha bora,waajiriwa wengi wanakufa masikini kila mwaka lakini hii biashara itakuwezesha wewe kuwa na uhakika hata wa vuzazi utakavyoviacha pindi unaondoka duniani.napenda kuwatia moyo watanzania wenzangu hebu tupambane tuifanye hii biashara serious hakuna atakaebaki analia njaa jamani.