Biashara ya spare za magari Dar es salaam

Biashara ya spare za magari Dar es salaam

Naombeni msaada Mwenye list za spea za piki piki naomba jamani nataka nikafungue baishara za spea
 
mkuu unataka kufanya biashara ya spea zipi hasa??.
magari makubwa marori kama fuso canter scania hino faw volvo benz fiat isuzu n.k

au spea za magari madogo??
na je wataka kufanya biashara ya spea gani hasa?? used au mpya?!

kabla ya yote mkuu ungejibu maswali hayo machache
mkuu nataka nianze tyres za magari,rims, spring,vioo,taa, na rangi,
 
Kama unataka kuanza biashara Uliza ni vitu gani vinatoka Mara kwa mara ndo uanze navyo wakati unausoma mchezo then utakua unaongeza kadri unavyouza na wateja wanavyouliza

zaidi nipo hapa kuibia na Mimi
 
Back
Top Bottom