music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
Wakuu naomba mawazo yenu.
Nina mpango wa kuanzisha stationery ya mtaji mdogo around mil 5 yani umo kila kitu mpaka fremu.
Naomba ushauri zaidi ya kuprint na kutoa copy pamoja na vifaa kama bahasha, rimu, kalamu, etc
Naweza vipi kuongeza thamani kwenye stationery kwa gharama ndogo lakini niwe na vitu vinavyoingiza buku buku kila siku?
Mie nimewaza huduma kama kutafutia watu TIN, kusaidia mifumo kama nest, heslb, loss report, kuomba vyuo na scholarship, kupiga passport size,
Vipi unaweza nishauri vitu vya ziads navyoweza kufanya bila gharama kubwa ila nikaongeza thamani?
Pia mimi nipo Dar mbezi ya kimara, ni location gani nzuri kwa hii biashara maeneo ya huku au ata Dar sehemu nyingine naweza kufika na kufanya research yangu.
Asanteni
Nina mpango wa kuanzisha stationery ya mtaji mdogo around mil 5 yani umo kila kitu mpaka fremu.
Naomba ushauri zaidi ya kuprint na kutoa copy pamoja na vifaa kama bahasha, rimu, kalamu, etc
Naweza vipi kuongeza thamani kwenye stationery kwa gharama ndogo lakini niwe na vitu vinavyoingiza buku buku kila siku?
Mie nimewaza huduma kama kutafutia watu TIN, kusaidia mifumo kama nest, heslb, loss report, kuomba vyuo na scholarship, kupiga passport size,
Vipi unaweza nishauri vitu vya ziads navyoweza kufanya bila gharama kubwa ila nikaongeza thamani?
Pia mimi nipo Dar mbezi ya kimara, ni location gani nzuri kwa hii biashara maeneo ya huku au ata Dar sehemu nyingine naweza kufika na kufanya research yangu.
Asanteni