Biashara ya Subwoofer

Mwaka 2018 kuna dada alifunguaga ofisi kabisa mabibo na tin feki na leseni feki alafu akawa anafanya mpka sponsored mbwa yule.

Alitupiga takribani watu 200 hela xetu ambazo tulimpa atuagizie vitu mie nilimpa 300k ya awali ili tv yngu ikifika nimalizie 400k kwa ajili ya samsung inch 60.

Kilichotokea baada ya mwezi na nusu tunaenda tunakuta imefunguliwa saloon ya kike mhusika hakupatikana mpka leo.

Toka siku hyo hata unielekeze vipi ntakusikiliza tu then huyo ntasepa zangu
 
wewe ungempa hela zako akuagizie mzigo???

kwanini asitoe step za watu kuagiza au connection ya makampuni??
na yeye kaja humu kama dalali na wewe mpuuzi mwingine unajifanya unajua
mbona mchanganuo wangu unaeleweka kama unahitaji kuagiza mwenyewe ni bora zaidi kuna soko kama alibaba,globalsource,made in china na kuna wasafirisha kama silent ocean,ngoka,tosh,unique,mapembelo so hapo unaweza kujitusu mwenyewe.
 
Tunalipia kwa njia gani? Na vipi kama nataka kuagiza zaidi ya box 100, hakuna discount?
malipo yanafanyika bank kwa discount zaidi ni ukichukua kuanzia box 500 ambapo itakuwa 55000 na utaweza kuwekewa brand yako (logo) kwenye sabufa na box lake (branding)
 
Unajua ni kwanini? Ni kwa sababu Tanzania katu katu hakuna mtu anayetangaza biashara yake hadharani na aonyeshe mahesabu yote na jinsi anavyopata faida nono iwapo ni biashara ya ukweli. Ukiona mtu anakuomba ufanye biashara flani kwani ina faida na akakupigia mahesabu yenye faida nono basi kimbia ufe.
 
malipo yanafanyika bank kwa discount zaidi ni ukichukua kuanzia box 500 ambapo itakuwa 55000 na utaweza kuwekewa brand yako (logo) kwenye sabufa na box lake (branding)
Almost 57ml itahitajika. Hopefully mwisho wa huu mwaka naweza kukucheki ila nataka vitu viwe quality sio mafamba.
 
Tatizo lingine pia tunaojua HATUNA MITAJI
 
Ondoeni utapeli wenu wa kizamani hapa. Shirikisheni ndugu zenu kama ina faida sana.
Kuna mahala nimesema inafaida sana boss....je vipi kama kwa hiyo sabufa unahisi ingefaa iuzwe ngapi bongo au china inunuliwe ngapi
 

bei ya sabufa na usafiri toka kiwandani hadi kwa agent msafirishaji kuja tz

jina model ya sabufa husika

gharama za usafirisha kwa (inahitajika kufanya mahesabu)

gharama ya sabufa na usafirishaji ni pesa ya china so ili kujua kwa pesa ya tz rate ndio izo crdb StackPath

ukubwa wa sabufa ili kujua gharama za usafirishaji (meli huzingatiwa ukubwa LxWxH sio uzito)

KWA UFUPI UNAPOONA NIMEPOST LENGO SIO KUKUHADAA ILI KUKUVUTIA KUAGIZA BALI HII NI FURSA KWA WALIOKUWA WANAHITAJI KUAGIZA CHINA.MIMI NITABAKI KAMA MSAADA NA HATA GHARAMA ZANGU ZI WAZI LABDA KAMA MOYO WAKO UNAONA UCHUNGU JUU YA KUJITAFUTIA RIZIKI KUPITIA UJUZI WANGU.
ZINGATIA USINIITE TAPELI NINGALI SIJAWAHI KUKUTAPELI
KAMA KUNA UDANGANYIFU WOWOTE KATIKA MCHANGANUO WANGU WAWEZA ELEZEA MANA NAJUA WAPO WAKONGWE JUU YA HAYA.
 

Attachments

  • 1693856233819.png
    8.9 KB · Views: 12
Wewe ni Mrundi?
 
Ondoeni utapeli wenu wa kizamani hapa. Shirikisheni ndugu zenu kama ina faida sana.
Baki na fikira zako za kimasikini hivyo hivyo. Toka nenda hata silent ocean pale au gnm cargo au Kilimanjaro kafanye utafiti utaambiwa. Na pesa ya usafiri hulipwa mzigo ukifika warehouse ya msafirishaji hapa Tanzania.

Sasa wewe badala ya kujifunza umekadhania utapeli tu, jinga kubwa wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekupeperushia njiwa wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…