Biashara ya Sukari imekuwa mateso kwa Wafanyabiashara

Biashara ya Sukari imekuwa mateso kwa Wafanyabiashara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wafanyabiashara wa Tanzania , hasa wale wanaouza sukari ni kama Watumwa wa serikali , ni watu ambao wamekubali pia kuwa Watumwa , haijulikani sababu hasa ya wao kukubali kuwa mbuzi wa Kafara (Binafsi nisingekubali hata kwa Bunduki)

Ikiwa kama uzalishaji wa sukari umeshindikana kwa sababu zozote zile ambazo si za Wazalishaji , kwanini serikali iwaangushie jumba bovu Wafanyabiashara ambao hawahusiki na sababu ambazo serikali ilizisema ?

Hapa iko namna , lakini tutaijua tu .

Screenshot_2024-02-22-17-12-26-1.png
 
Sukari imepanda mkawa mnakosoa serikali na kujifanya watetezi wa wananchi! Serikali inachukua hatua mnaanza kutetea wafanyabiashara wahuni.

Sasa nyinyi ChaDema mnasimama wapi?.....au shida ni kutafuta umaarufu?
 
Sukari imepanda mkawa mnakosoa serikali na kujifanya watetezi wa wananchi! Serikali inachukua hatua mnaanza kutetea wafanyabiashara wahuni.

Sasa nyinyi ChaDema mnasimama wapi?.....au shida ni kutafuta umaarufu?
Hatua iwachukulie mabwanyenye yenye viwanda, hizi zote ni Siasa za kiafrika na wewe ukoloni mambo Leo umekufanya ukose kujitambua. Hivi unawajua wenye viwanda vya sukari??? Au wenye wako katika out grower schemes??? Serikali inalinda mabwanyenye kwa kafara ya wachuuzi tu, we kada akili hizi huna wewe ni kudumisha fikra za viongozi wako tu
 
Kwani Bashe siyo mwanasiasa ?
Bashe keshaonyesha njia ya kutatua tatizo.
kuna kamanda humu alileta uzi wa namna ya kutatua tatizo sukari, nimefurahi Bashe kapokea ushauri wa kamanda na anataka kuufanyia kazi.

lakini wewe unaanza zengwe kuwatetea Big boys,wamekupa shilingi ngapi kamanda?
 
Wafanyabiashara wa Tanzania , hasa wale wanaouza sukari ni kama Watumwa wa serikali , ni watu ambao wamekubali pia kuwa Watumwa , haijulikani sababu hasa ya wao kukubali kuwa mbuzi wa Kafara (Binafsi nisingekubali hata kwa Bunduki)

Ikiwa kama uzalishaji wa sukari umeshindikana kwa sababu zozote zile ambazo si za Wazalishaji , kwanini serikali iwaangushie jumba bovu Wafanyabiashara ambao hawahusiki na sababu ambazo serikali ilizisema ?

Hapa iko namna , lakini tutaijua tu .

View attachment 2912795
Kwanini Sukari isiuzwe kama simu za Android, apple etc.. zinavyouzwa maana kwa sasa hadi Simu za Mkopo.zipo unachagua tu. Huu urasimu ufikie kikomo.
 
Wafanyabiashara wa Tanzania , hasa wale wanaouza sukari ni kama Watumwa wa serikali , ni watu ambao wamekubali pia kuwa Watumwa , haijulikani sababu hasa ya wao kukubali kuwa mbuzi wa Kafara (Binafsi nisingekubali hata kwa Bunduki)

Ikiwa kama uzalishaji wa sukari umeshindikana kwa sababu zozote zile ambazo si za Wazalishaji , kwanini serikali iwaangushie jumba bovu Wafanyabiashara ambao hawahusiki na sababu ambazo serikali ilizisema ?

Hapa iko namna , lakini tutaijua tu .

View attachment 2912795
Imekuwa kama madawa haramu
 
Sukari imepanda mkawa mnakosoa serikali na kujifanya watetezi wa wananchi! Serikali inachukua hatua mnaanza kutetea wafanyabiashara wahuni.

Sasa nyinyi ChaDema mnasimama wapi?.....au shida ni kutafuta umaarufu?
Ukiona hivyo Mbowe anahusika, Chadema wafuasi kama wa KIBWETELE
 
Back
Top Bottom