Biashara ya Sukari imekuwa mateso kwa Wafanyabiashara

Biashara ya Sukari imekuwa mateso kwa Wafanyabiashara

Wafanyabiashara wa Tanzania , hasa wale wanaouza sukari ni kama Watumwa wa serikali , ni watu ambao wamekubali pia kuwa Watumwa , haijulikani sababu hasa ya wao kukubali kuwa mbuzi wa Kafara (Binafsi nisingekubali hata kwa Bunduki)

Ikiwa kama uzalishaji wa sukari umeshindikana kwa sababu zozote zile ambazo si za Wazalishaji , kwanini serikali iwaangushie jumba bovu Wafanyabiashara ambao hawahusiki na sababu ambazo serikali ilizisema ?

Hapa iko namna , lakini tutaijua tu .

View attachment 2912795
SERIKALI YANGU NA CCM MKUBALI TU MAMBO YAMEWASHINDA! HII NI AIBU KWA TAIFA HILI LENYE ASALI NA MTINDI KWA WINGI.
HIVI INAWEZEKANAJE KIONGOZI/MFANYAKAZI ANAENDA KAZINI AKILI YAKE IKO KWENYE KUIBA TUU!

TUNAZO VIWQNDA YA KUZILISHA SUKARI NAMBA 1 NI TPC MOSHI. BINAFSI NIMEFANYA KAZI PALE HADI KUSTAAFU NAIJUA BILA UBISHI LEO.ETI WATANZANIA WANAUZIWA SUKARI ELFU 6.
NA BADO ZIKO VIWANDA NYINGINEZO.

HEBU KUWENI NA AIBU! KWENYE UMEME VIVYO HIVYO! MAJI NDIO WALA USISEME.

NA BADO.MNAPOKEA MISHAHARA! NONE SENCE!!.
 
Sasa nyinyi ChaDema mnasimama wapi?.....au shida ni kutafuta umaarufu?
Hao wao ni kuandamana tu ndiyo wanachojua.
Timu nzima viazi tu.
Hapo ruzuku ndiyo wanaitafuta.
Sasa fikiria km itatosha.
Mbowe,Lissu,Slaa,List ni ndefu sasa sijui km kina Sugu watapata kitu.
Hicho ni chama cha deal tu.
Hamna lolote.
Mwenye chama yuko Moshi huko anakunywa mtori tu.
Ikilipwa ruzuku nusu yake nyingine hangaikeni na Chama.
Hao ni matapeli tu
 
Hao wao ni kuandamana tu ndiyo wanachojua.
Timu nzima viazi tu.
Hapo ruzuku ndiyo wanaitafuta.
Sasa fikiria km itatosha.
Mbowe,Lissu,Slaa,List ni ndefu sasa sijui km kina Sugu watapata kitu.
Hicho ni chama cha deal tu.
Hamna lolote.
Mwenye chama yuko Moshi huko anakunywa mtori tu.
Ikilipwa ruzuku nusu yake nyingine hangaikeni na Chama.
Hao ni matapeli tu
Unalia nini sasa ?
 
Back
Top Bottom