TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Habari wana Jf
Nimekuwa na malengo ya muda mrefu nahitaji kuanzisha biashara ya kusapray bidhaa kwenye maduka ya rejareja
Bidhaa kama mafuta ya kura, sukuri, na betri
Hizi biashara nimekuwa nikifatilia kwa muda sasa nakuona zindimand kubwa ya soko kwasababu biashara hizi Gavament wanazitolea sana macho hali hii imewafanya wenye maduka kuzipata kwa tabu na kusababisha soko lake kuwa kubwa
Kama unadate za baishara hii naomba unipe
Nimekuwa na malengo ya muda mrefu nahitaji kuanzisha biashara ya kusapray bidhaa kwenye maduka ya rejareja
Bidhaa kama mafuta ya kura, sukuri, na betri
Hizi biashara nimekuwa nikifatilia kwa muda sasa nakuona zindimand kubwa ya soko kwasababu biashara hizi Gavament wanazitolea sana macho hali hii imewafanya wenye maduka kuzipata kwa tabu na kusababisha soko lake kuwa kubwa
Kama unadate za baishara hii naomba unipe