Biashara ya sukari sasa imekuwa kama ya ngada, tupo tayari kununua sukari hata kwa 4000/= ipatikane tu

Biashara ya sukari sasa imekuwa kama ya ngada, tupo tayari kununua sukari hata kwa 4000/= ipatikane tu

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Serikali haijashinda vita na wafanyabishara toka mzee Magufuli aingie ulingoni. Korosho alipigwa vibaya sana. Mpaka leo serikali inadaiwa.

Pambano la sukari nalo limefikia pabaya sana tuna viwanda vingi sana hapa ndani na bado sukari haitoshi kuagiza nje bado tatizo.

Sasa sukari haipatikani iwe ya ndani au ya nje wenye nayo unauziwa kama unajulikana tu(kama madawa). Raia wanalia wanatamani kununua hata kwa 4000.

Hii ni baada ya serikali kuingilia bei na kupanga ya kwao huku wakijua haipatikani kwa sasa.

Swali langu: Je, viwanda vyetu sasa vinatengeneza nini?
 
Ukikutwa nayo, unapigwa pingu..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haya yalikuwa maisha ya enzi za Chama kushuka hatamu
Naomba mtazamo wako hivi kweli watu weusi upeo wetu wa kufikiria upo Sawa maana matatizo yote ya Afrika ni Sawa ubinafsi wa viongozi wetu uliopitiliza eti sukari nchi imepata Uhuru karibu miaka 59 iliyopita bado kuna tatizo la sukari tu mie Shauri wangu bora kuomba Hawa mabwana wakubwa warudi tu maana tumeshindwa kila sehemu sie kazi zetu Uwalimu ukarani utawala hakuna hakuna mtu mweusi mwenye uwezo wa kutawala hakuna...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimenunua sukari za kupimwa kwenye mzani kwa Tsh 3000, Nikanunua kilo 2 fasta maana niliulizia karibia maduka mawili kulikwa hakuna kabisa nilivyoifuma nikachukua kilo mbili fasta.
 
Back
Top Bottom