Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uko wapi..yaani pande zipi?Nina kacorola kangu nakataka nikafanye taxi. hivi mahesabu nitegemeaje kwa siku nzuri na kwa wiki. Nataka jua hili nione kama naweza jipatia kaela ka mboga au nikauzie tu nduguzangu.
Mimi hii biashara ndio naonaga ni biashara kichaa,unaenda kununua gari kwa sh million 8 mpaka 10 unampa dereva anakuletea husabu ya elfu 10 mpaka 15,mimi ntafungua genge nimeweka hela nyingi sana laki 3 ntapata faida ya 15 mpaka 30000,sifanyi service,genge halichakai,risk ya ajali hamna,kwa ujumla kama una gari yako usijeifanya taxi kabisa,haina faida manake hesabu yake ni ndogo sana hesabu ya elfu 15,000 haitakulipa itaishia kwenye service,achana nayo hiyi biashara kwa ushauri wangu.Nina kacorola kangu nakataka nikafanye taxi. hivi mahesabu nitegemeaje kwa siku nzuri na kwa wiki. Nataka jua hili nione kama naweza jipatia kaela ka mboga au nikauzie tu nduguzangu.
hata kwa walewanaofanya hapo airport mambo yao ni hivi au wananafuukidogoMimi hii biashara ndio naonaga ni biashara kichaa,unaenda kununua gari kwa sh million 8 mpaka 10 unampa dereva anakuletea husabu ya elfu 10 mpaka 15,mimi ntafungua genge nimeweka hela nyingi sana laki 3 ntapata faida ya 15 mpaka 30000,sifanyi service,genge halichakai,risk ya ajali hamna,kwa ujumla kama una gari yako usijeifanya taxi kabisa,haina faida manake hesabu yake ni ndogo sana hesabu ya elfu 15,000 haitakulipa itaishia kwenye service,achana nayo hiyi biashara kwa ushauri wangu.
labda uendeshe mwenyewe lakini ukimpa dereva ni biashara ya hovyo sana hiyo.Nina kacorola kangu nakataka nikafanye taxi. hivi mahesabu nitegemeaje kwa siku nzuri na kwa wiki. Nataka jua hili nione kama naweza jipatia kaela ka mboga au nikauzie tu nduguzangu.
Mimi hii biashara ndio naonaga ni biashara kichaa,unaenda kununua gari kwa sh million 8 mpaka 10 unampa dereva anakuletea husabu ya elfu 10 mpaka 15,mimi ntafungua genge nimeweka hela nyingi sana laki 3 ntapata faida ya 15 mpaka 30000,sifanyi service,genge halichakai,risk ya ajali hamna,kwa ujumla kama una gari yako usijeifanya taxi kabisa,haina faida manake hesabu yake ni ndogo sana hesabu ya elfu 15,000 haitakulipa itaishia kwenye service,achana nayo hiyi biashara kwa ushauri wangu.
Nina kacorola kangu nakataka nikafanye taxi. hivi mahesabu nitegemeaje kwa siku nzuri na kwa wiki. Nataka jua hili nione kama naweza jipatia kaela ka mboga au nikauzie tu nduguzangu.
Nina kacorola kangu nakataka nikafanye taxi. hivi mahesabu nitegemeaje kwa siku nzuri na kwa wiki. Nataka jua hili nione kama naweza jipatia kaela ka mboga au nikauzie tu nduguzangu.
mimi nilikuwa nazania ningeweza pata kama 50,000 kwa airport daaa kumbe ni hali ngumu
Hii biashara ni nzuri kama wewe ni mjasiriamali,ambaye uko tayari kuchukua "risk".Huyu jamaa anayesema genge,kwani nyanya haziozi,kwa hiyo mwenye uamuzi wa mwisho ni wew binafsi,mbona kuna wanafunzi wanapata sifuri kwenye mitihani lakini watoto hawaachi kusoma.Mimi ninaTEKSI na inalipa kweli,kuwa na dereva mwaminifu
YES! Huu ushauri wa kuwekeza ktk mitambo ya kutengeneza mafuta naukubali sasa hebu tujuze zaidi- iko wapi, bei zikoje, installation charges, power, labour, etc. I AM INTERESTED.Tujaribu kubuni biashara nyingine ambazo wengi hawajaingiza pua na kushika kazi a ushindani. Kama nafasi inaruhusu mtaji wa gari ulilo nalo unaweza nunua mtumba wa mtambo wa kuchuja mafuta, kubangua na kuzindika karanga na korosho na kufanya packaging kwa mauzo yenye uhakika kiafya, na mengine mengi tu.
YES! Huu ushauri wa kuwekeza ktk mitambo ya kutengeneza mafuta naukubali sasa hebu tujuze zaidi- iko wapi, bei zikoje, installation charges, power, labour, etc. I AM INTERESTED.