Biashara ya Tigopesa na M-Pesa

matatajungu

Member
Joined
May 10, 2016
Posts
39
Reaction score
17
Habary wanajamvi,

Naomb mnisaidie elimu kidogo juu ya shughul ya tigo pesa pamoja na m-pesa. Na n kwa mtaji wa kiasi gan unaweza kufany shughul hii kwa ufanisi, location ni miyuji in Dodoma region.
 
Na mimi nakaa apo apo ngoja nisubir majibu nikuige kuanzisha
 
Nakushauri uende kwenye ofisi husika ya hizo kampuni ili upate maelezo ya kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…