Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo kwa kusimuliwa utasema biashara ndio hii, ingia sasa ndio utaelewa vizuri😂😂😂Umenibi nicheke tu
Ndio inakuwa na toboHuu mti si una tobo katikati
Ni kweli, ni ya kutafuta. Ila wewe tangaza uhitaji utaona itakapotoka popoteHapa Tanzania bamboo unazipata wapi!!! Kwanza hakuna watu wanaootesha bamboo kibiashara. China.....bamboo ni biashara kubwa, watu wanaotesha kibiashara kabisa.
Jaribu kufungua hicho kiwanda baada ya muda utakosa malighafi
Was asking this several times, hii biashara demand ipo nje nje. Je akina Dewj wameshindwa kuwekeza??Hapa Tanzania bamboo unazipata wapi!!! Kwanza hakuna watu wanaootesha bamboo kibiashara. China.....bamboo ni biashara kubwa, watu wanaotesha kibiashara kabisa.
Jaribu kufungua hicho kiwanda baada ya muda utakosa malighafi
Kwetu mtu anaweza kuwa na mtaji ila hajui cha kufanya!😂 Anaomba ushauri ana million 5 afanyie biashara gani!?
Kuna mdogo wangu anafanya hii biashara ya sandozi za ngozi ana miaka 5 Sasa anaifanya. Nataka nimuongezee nguvu nimuagizie machine kabisa awe na mafundi wake wanaomshonea maana naona anapata order mpaka kutoka South Africa, Kongo, Malawi na Burundi. Kisha baada yahapo nione itakuwaje .Hapa kwetu ubunifu umeishia kwenye kuchonga sendoz za ngozi na kacha
Huyo kashafika mbali. Mpe boost itamtoa hio.Kuna mdogo wangu anafanya hii biashara ya sandozi za ngozi ana miaka 5 Sasa anaifanya. Nataka nimuongezee nguvu nimuagizie machine kabisa awe na mafundi wake wanaomshonea maana naona anapata order mpaka kutoka South Africa, Kongo, Malawi na Burundi. Kisha baada yahapo nione itakuwaje .