Biashara ya tution center italipa sana kuanzia 2016

Elimu bure bila kuboresha miundo mbinu ni hatari,wanafunz watajazana mpaka ubaon,ratio ya mwalimu ni kubwa sanA
 
Naamini elimu itakuwa bora maana shule zitaimarishwa na walimu mori utapanda.maana madeni yote yatalipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…