Biashara ya Uchawi Tanzania

nilivyomwona thru prayers, siyo mwanachama wa illuminat-freemasons wala devil worshipper. bali kipa huyu maarufu wa kilabu kikubwa tu nchini,yeye ni devil Disciple. anapokuwa langoni yaani golini, anayasambaza mapepo [vishetani vidigo] zaidi ya ,MIA MOJA ndani ya penati-box. ili kuwachanganya timu pinzani. ingawa amepewa masharti magumu sana na wakala wa CHINI YA MAJI, anajitahidi kwa bidii zake zote kuyatimiza [sipendi kuyataja masharti hayo.-yana kinyaa sana] LAKINI kila anapojiunga na timu yoyote ni lazima yale Madudu aliyobebeshwa yamshambulie sana Golikipa atakayemkuta mpaka akimbie sasa nimesikia anataka kwenda azam fc. watahadharisheni sana, wasije umia

NB; zile software za Dangeruos prayers tayari kwa 3000. nitakujulisha namna ya kupata ili ujisimamie wewe mwenyewe kataka kusambaratisha makafara, mazindiko, maajini na kazia za Lusifa kwa jina la YESU
 

Mkuu lakini mbona huwa anafungwa? anafungwaje kama huwa ana majini ya kumlinda? Na juzi tu tumefungwa 2?
 

Mimi niko Tanga mbona una unaongea vitu vya kutisha namna hii? Bachelor inatolewa huku? Hicho chuo ni visible au invisible Kama gambushi?
 

Usitufanyie hivyo ndugu zako, tafadhali hebu iweke hapa nasi tupate kuelewa.
 

Usafiri wa fagio ndio ukoje? tunaomba ufafanuzi hapo
 

Dah sister Felister una kitu muhimu sana hapa ambacho watu wanapaswa kujifunza kutoka kwako. Please endelea kutiririka zaidi ili kutuza kuhusu haya mambo.
 

Hebu tufafanulie hapo ndugu
 
Hebu tufafanulie hapo kwenye wino mweusi ndugu tupate kuelewa .

Na hapo kwenye wino mwkundu, si wanasema sadaka ya kuzimu ni damu za watu, sasa iweje tena wachukue pesa? halafu huko kuzimu pesa zinatumikaje? i mean huko nako mambo yanaendeshwa kama duniani? yani kuna maduka kama huku?
 

Hapo nakubaliana na wewe, ile ajali ilikuwa imekaa kikiini macho sana, ninaamini kabisa kuna uhusiano wa hiyo ajali na nguvu za kuzimu. Swali langu kwako ni nini mustakabli wa kiroho wa watu walio poteza maisha yao kwenye ajali ya MV Bukoba? I mean je walienda kuzimu ama peponi au sehemu zote mbili kulingana na uhusiano wao na Mungu?. Je walichukuliwa misukule au ? Tafadhali nahitaji kujua hapa
 

ndugu yangu, nami nahitaji kuokoka nisaidie. pia kuna mapaka yanalia kama mtoto hapa kwetu mida ya saa sita usiku hadi saa tisa nahs ni wachawi km maelezo yako yanavyosema
 
MAMA POROJO na Majimoto waitwa huku
 
Last edited by a moderator:
Huna haja ya kuogopa tena Uchawi.... tazama silaha hizi dhidi ya Ma-wakala wa ibilisi, na walozi....
NB: silaha hizi zaweza kutumiwa na watu wa dini zote ali mradi tu waamini nguvu za Mungu wa KWELI
Maelekezo zaidi 0716 7 66 640
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…