KERO Biashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili

KERO Biashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
 
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
Hiyo ni biashara kongwe sana duniani kote, kuizuia biashara hii kuna ugumu wake.
Ukiona kuna Wauzaji ujue pia Wanunuzi wapo. Piga vita Wanunuzi ili kuwadhibiti Wauzaji. Je, wewe binafsi tayari umefanya juhudi gani hasa ili kukomesha biashara hii???
 
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
Taarifa njema sana hii 🙏 🙏 🙏
 
KIUKWELI ILE BAA YA LUBUMBASHI MBEZI LOUIS HAIFAI KABISA. MTU MWENYE HESHIMA HAWEZI KUKAA PALE. YAANI NI BIASHARA YA UFUSKA TU. HALAFU HATA MAZINGIRA NI MACHAFU SANA, JIKONI NI KARIBU NA CHOO AMBACHO MUDA WOTE KUNA MAINZI YA KIJANI.

BAHATI NZURI WATEJA WA PALE NAO NI WACHAFUCHAFU TU. HUWEZI KUTA MTU WA MAANA PALE.
 
KIUKWELI ILE BAA YA LUBUMBASHI MBEZI LOUIS HAIFAI KABISA. MTU MWENYE HESHIMA HAWEZI KUKAA PALE. YAANI NI BIASHARA YA UFUSKA TU. HALAFU HATA MAZINGIRA NI MACHAFU SANA, JIKONI NI KARIBU NA CHOO AMBACHO MUDA WOTE KUNA MAINZI YA KIJANI.

BAHATI NZURI WATEJA WA PALE NAO NI WACHAFUCHAFU TU. HUWEZI KUTA MTU WA MAANA PALE.
Nawaona Wateja wake mnapafahamu Vizuri kabisa...
 
KIUKWELI ILE BAA YA LUBUMBASHI MBEZI LOUIS HAIFAI KABISA. MTU MWENYE HESHIMA HAWEZI KUKAA PALE. YAANI NI BIASHARA YA UFUSKA TU. HALAFU HATA MAZINGIRA NI MACHAFU SANA, JIKONI NI KARIBU NA CHOO AMBACHO MUDA WOTE KUNA MAINZI YA KIJANI.

BAHATI NZURI WATEJA WA PALE NAO NI WACHAFUCHAFU TU. HUWEZI KUTA MTU WA MAANA PALE.
Huduma za fasta ni bei gani?
 
KIUKWELI ILE BAA YA LUBUMBASHI MBEZI LOUIS HAIFAI KABISA. MTU MWENYE HESHIMA HAWEZI KUKAA PALE. YAANI NI BIASHARA YA UFUSKA TU. HALAFU HATA MAZINGIRA NI MACHAFU SANA, JIKONI NI KARIBU NA CHOO AMBACHO MUDA WOTE KUNA MAINZI YA KIJANI.

BAHATI NZURI WATEJA WA PALE NAO NI WACHAFUCHAFU TU. HUWEZI KUTA MTU WA MAANA PALE.
😂😂😂
 
KIUKWELI ILE BAA YA LUBUMBASHI MBEZI LOUIS HAIFAI KABISA. MTU MWENYE HESHIMA HAWEZI KUKAA PALE. YAANI NI BIASHARA YA UFUSKA TU. HALAFU HATA MAZINGIRA NI MACHAFU SANA, JIKONI NI KARIBU NA CHOO AMBACHO MUDA WOTE KUNA MAINZI YA KIJANI.

BAHATI NZURI WATEJA WA PALE NAO NI WACHAFUCHAFU TU. HUWEZI KUTA MTU WA MAANA PALE.
Maeneo hayo ya Ncha Kali dronedrake Chaliifrancisco hydroxo
 
Back
Top Bottom