KERO Biashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili

KERO Biashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
Watoto wanafanya nini baa! Watoto wafukuzwe baa nafasi zao wachukue baba zao.
 
We mbusiii. Nilijua ulikufa kwenye shambulio la Iran kumbe upo hai.
Wee umbwaa, Mungu Yesu alinikingia kifua. Mcheki mwamba hapo chini.
FB_IMG_1712582411945.jpg
 
Hivi kama unatoka Gongo la mboto napanda gari za wapi na nashukua wapi??
Njoo hadi mbezi mwisho, shuka then chukua daladala za kwenda Kawe/Goba, shuka kituo cha kwanza(shule), upande huo huo kuna soko, tembea upande huo wa soko hadi ulivuke, then utakutana na vitu vyenu🤣
 
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
Hama.
Asante kwa kusanua chimbo
 
Maambukizi ya UGONJWA HATARI WA UKIMWI ni mkubwa sana kwwnye eneo jilo.
Ukimwi njenje.
ARVs ni mateso epuka ukimwi.
 
Hapa Mbezi Luis, Karibu na soko ambalo linapakana na Shule ya msingi Mbezi Kuna bar na gest ipo karibu na soko kwa nyuma ya soko, bar hii inaitwa Lubumbashi na maeneo yake ya jirani kunafanyika biashara ya ukahaba waziwazi mchana na usiku, utakuta wadada wamejipanga wanauza miili makundi kwa makundi.

Maeneo haya kuna makazi ya watu ambao wana watoto wadogo, watoto hao wanashuhudia mambo ya ajabu yakifanywa na makahaba kama kuonesha viungo vyao ili kuvutia wanaume wanaofika hapo kuwachagua ili kuwanunua.

Pia eneo hilo lipo karibu na shule japo wakati wa mchana idadi ya akahaba si wengi kama usiku kuanzia saa 1 ila wanakuwepo na ni niia ya wanafunzi kupita kwenda shule na kurudi nyumbani hivo wanashuhudia biashara hiyo ikifanyika na kuharibu maadili yao.

Kwa wakazi wa eneo hili ni kero kubwa sana, hasa tunaposhuhudia wauza miili wakiwa wanafanya biashara mbele ya nyumba na kuharibu maadili ya jamii yetu, tena wengine ni mabinti wadogo sana kuanzia miaka 15 nao wapo wanauza miili katika eneo hilo.

Serikali tunaomba msaada wa kuwaondoa watu hawa maana wakati mwingine wanafanya hata ngono katikati ya mitaa etu huku wakiwa wanawauzia walevi wa hapo bar ni mambo ya aibu sana yanafanyika hapo.
mkuu unakereka nini watu wanapata utamu na pesa
 
Back
Top Bottom