KEROBiashara ya Ukahaba Mbezi Mwisho, Kwenye Bar ya Lubumbashi na maeneo yake ya jirani ni hatari kwa maadili ya watoto na kero kubwa wakazi wa eneo hili
Thread starterAnonymous
Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Njoo hadi mbezi mwisho, shuka then chukua daladala za kwenda Kawe/Goba, shuka kituo cha kwanza(shule), upande huo huo kuna soko, tembea upande huo wa soko hadi ulivuke, then utakutana na vitu vyenu[emoji1787]
Uendeshaji wa Madanguro ni Kosa la JINAI,Nenda Polisi Fungua Kesi UWE na RB,Polisi waje wawakamate wawapeleke Mahakamani Wewe Uwe Shahidi kwamba Uliwaona wakifanya Ukahaba Wapelekwe Segerea Hapo Jirani.