Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Halafu zikifika Mahakamani huwa inakuwaje? Mama huwa ANASHINDA KESI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni baridi tu niko MbeyaTupe majibu ya hospital kwanza mkuu..wamesema ni mafua ya kawaida tu au ndo wuhan
mzee, acha kumtisha. mm hii biashara nmefanya na ina pesa mnooo japo nlikuja kudhurumiwa pesa zangu nyingi sana nkaachana nayo. ila nshajua nlipokoseagaUna uzito wa kg ngapi mkuu?
Huwa hufanyi mazoezi?
Una kitambi?
Hii biashara ni gym nzuri sana[emoji851]
Kila la kheri!
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah ndo changamoto zake hzo but hupaswi kuzikimbia bali unapaswa kuzikabiliLoan sharking ni dhambi.Watu huwa wanachomewa nyumba zao na kutekwa na wanaowadai.Kuna jamaa alikatwa mapanga usiku kwa sababu ya biashara hii.
em tupe ilikuwaje mpk ukazurumiwamzee, acha kumtisha. mm hii biashara nmefanya na ina pesa mnooo japo nlikuja kudhurumiwa pesa zangu nyingi sana nkaachana nayo. ila nshajua nlipokoseaga
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
We jaribu wewe afu uwe mjanja mjanja wa kutegea mtu akishindwa siku mbili tu!!! uchukue mali yake,ni kwei utakua na haki lakini pia utakuja kutuhadisia mengine hapa kwamba aliyekukopa pesa tena kakujeruhi..hii dunia ukiwa na peaa na wengine hawana usidhani ndo imekua yako na wengine dunia iwahusu..we jaribu tu badala ya porojoMtu yoyote anayekopesha kwa riba ni dhulma haijalishi kubwa au ndogo.
Pili dunia ya Sasa ukitoa pesa kiungwana watu hawana wema hawakulipi kwahyo uchaguzi ni wa mtu binafsi .hakuna mtu anayelazimishwa kukopa
We jaribu wewe afu uwe mjanja mjanja wa kutegea mtu akishindwa siku mbili tu!!! uchukue mali yake,ni kwei utakua na haki lakini pia utakuja kutuhadisia mengine hapa kwamba aliyekukopa pesa tena kakujeruhi..hii dunia ukiwa na peaa na wengine hawana usidhani ndo imekua yako na wengine dunia iwahusu..we jaribu tu badala ya porojo
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Unajua usumbufu wa kupotelewa na kadi ya bank wewe? Na utakuwa unaenda kila mwezi kusema umepotelewa na kadi? HIVI kwann akili zetu zinawaza kwenye low capacity kiasi hiki? Mtu mzima unaanze kusema ataenda Bank kusema amepoteza kadi kisa 100k? Utaenda mara ngapi? Kwa taarifa yako wakopaji wa kwenye hizo biashara huwa addicted sana yaan hawaachi na huwa na urafiki mkubwa na mkopeshaji. Ni ngumu sana kwa hivyo ulivyosema.. ALWAYS WAKOPAJE WA HUO MFUMO NI WATU WENYE TAMAA HIVYO NI NGUMU SANA KUWATOA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usibishe
Kuna jamaa namfahamu vizuri sana, alipoona hawezi kulipa deni na muda wa kulipa umekaribia akasingizia kwamba ATM card imepotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza Mtu alofikia kua manager wa bank hawezi fanya upuuzi Kama huu! Pili hawa wakopesaji tamaa wanaoweka riba za kipuuzi binafsi nimewahi wapiga Kama Mara mbili kwa kufikishana polisi na mahakamani na Kuna watu nimewasaidia kuwapiga Kama Mara 5. Ukijua Sheria raha Sanandugu yang hapa nimesumarize ila ni story ndef yan jamaa ana conection na mabank managers yaan kila mda anaenda kucheki salio lako yan mda mwngne anabadili mpaka namba ya simu ya kwny account such that mshahara ukiingia bas yy ndo anakuwa wa kwanza kujua afu pia wana connection na mapolisi nk
Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Mdaiwa akienda mahakamani utoboi bro [emoji23][emoji23]Watu sasa hivi wamekuwa wajanja baada ya kuona wanadhulumiwa. Sasa wanafanya hivi;
Wewe si unataka mkopo wa laki moja Basi tunaandikishana kwamba nimekupa laki na nusu na utatakiwa kuirudisha siku fulani ukishindwa mwezi ukiisha anakuita mnaandikisha na tena ile laki na nusu sasa inakuwa 225,000/=
Sasa hapa hakiiuza Mali yako huna pa kwenda maana makubaliano yanaonesha alikupa pesa bila riba.
God save us
Kwanza Mtu alofikia kua manager wa bank hawezi fanya upuuzi Kama huu! Pili hawa wakopesaji tamaa wanaoweka riba za kipuuzi binafsi nimewahi wapiga Kama Mara mbili kwa kufikishana polisi na mahakamani na Kuna watu nimewasaidia kuwapiga Kama Mara 5. Ukijua Sheria raha Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzijua Contract Laws ndugu?Huo uliofanya ni utapeli
Kama mmekubaliana kwa riba yoyote, bila kujali ni kubwa kiasi gani unapaswa kulipa, kama uliona riba ni kubwa usingekopa
Lakini Unaposema mtu akikopa, ki kawaida, yaani bila riba (kwenye makaratasi ikionekana ni bila riba) halafu kesi ikienda mahakamani utalipa tu, maana sheria pia inawalinda watu wanaokopesha kirafiki (si kibiashara)
Mwisho kukataa kulipa deni la mtu ni dhulma, na si kila mtu huwa anamwachia Mungu Mkuu, ni ushauri tu kwako
Sent using Jamii Forums mobile app