Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Wengine anakupa ATM Card yake na ikikaribia mwisho wa mwezi anaenda kusema kule bank kwamba amepoteza card yake na mwishowe pesa yake ataitolea ndani(counter).

Unajua usumbufu wa kupotelewa na kadi ya bank wewe? Na utakuwa unaenda kila mwezi kusema umepotelewa na kadi?

HIVI kwann akili zetu zinawaza kwenye low capacity kiasi hiki? Mtu mzima unaanze kusema ataenda Bank kusema amepoteza kadi kisa 100k? Utaenda mara ngapi? Kwa taarifa yako wakopaji wa kwenye hizo biashara huwa addicted sana yaan hawaachi na huwa na urafiki mkubwa na mkopeshaji.

Ni ngumu sana kwa hivyo ulivyosema.. ALWAYS WAKOPAJE WA HUO MFUMO NI WATU WENYE TAMAA HIVYO NI NGUMU SANA KUWATOA.
 
naona yy anafanya vzur kushika mali asee mm pesa yangu ndefu imepotea kwny hii bussness mana wadaiwa wamekausha kama hawana deni vile na huez wapeleka polis coz huna lesen ya kukopesha.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk

wapeleke BoT wametoa grace period had oktoba 2020, polisi utawaambia umeshafanya application ya leseni yoka BOT, na BOT bado kujujibu kutokana na mchakato wa maandalizi ya noti mpya.
hapo wadawa wako wanaweza anza kulipa madeni yako.
 
Sina huo mtaji sema nimefanya kazi kwenye hizo financial institutions.
Sasa hivi nikienda huko ninaenda kama mteja wa kukopa.

Ah so una kauzoefu... Basi njoobuwe secretary ila usije nitega tukaishia kugegedana na biashara tusifanye hhahaa
 
Unajua usumbufu wa kupotelewa na kadi ya bank wewe? Na utakuwa unaenda kila mwezi kusema umepotelewa na kadi?

HIVI kwann akili zetu zinawaza kwenye low capacity kiasi hiki? Mtu mzima unaanze kusema ataenda Bank kusema amepoteza kadi kisa 100k? Utaenda mara ngapi? Kwa taarifa yako wakopaji wa kwenye hizo biashara huwa addicted sana yaan hawaachi na huwa na urafiki mkubwa na mkopeshaji.

Ni ngumu sana kwa hivyo ulivyosema.. ALWAYS WAKOPAJE WA HUO MFUMO NI WATU WENYE TAMAA HIVYO NI NGUMU SANA KUWATOA.
Nitafutie hao watu
 
yeye anacheza rough moja kubwa kuliko maana yy anakopesha watumish wa serikali na wanaoelekea kustaafu tuuu. anachofanya n kwamba anakupa mkopo then mnaandiishiana kwamba mshahara ukiingia bas yy anaenda kutoa pesa alokukopesha plus riba then ndo unaenda kuchukua ATM yako (mana wakat wa kuchukua mkopo unaacha atm, na sometime huwa anabadlisha hata paswed za atm ili usije ukaenda kusema umeipoteza). sasa bhaana kwa wastaafu ndo utacheka maana anaweza kumkopesha mtumishi laki 2 yaan ile mkopaji.anaondoka tu,jamaa anaongeza sifuri moja inakuwa milion 2 sasa njoo uone riba yake saasa asee watu huwa wanalia n balaa.

japo jamaa anapata pesa but its certain kind of robbery.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk

Bado mjinga kuna mobile way mtu anaweza vuta pesa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
yeye anacheza rough moja kubwa kuliko maana yy anakopesha watumish wa serikali na wanaoelekea kustaafu tuuu. anachofanya n kwamba anakupa mkopo then mnaandiishiana kwamba mshahara ukiingia bas yy anaenda kutoa pesa alokukopesha plus riba then ndo unaenda kuchukua ATM yako (mana wakat wa kuchukua mkopo unaacha atm, na sometime huwa anabadlisha hata paswed za atm ili usije ukaenda kusema umeipoteza). sasa bhaana kwa wastaafu ndo utacheka maana anaweza kumkopesha mtumishi laki 2 yaan ile mkopaji.anaondoka tu,jamaa anaongeza sifuri moja inakuwa milion 2 sasa njoo uone riba yake saasa asee watu huwa wanalia n balaa.

japo jamaa anapata pesa but its certain kind of robbery.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Aiseee!! Huyu ni jambazi.
 
Ukitaka kufanya nitafute nina udhoefu wa micro credit ya one year, najua changamoto na njia sahihi ni ipi kupata profit hii biashara inahitaji umakini mwanzo mbaya ndo huaribu mwisho, and never miss any step during dispatching, inahitaji uvumilivu. 0712 605 935

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukishasajili, hiyo biashara haiwezi kuwa na faida kiasi hicho,

Maana ninachojua mimi BOT ndio wanapanga hadi ukomo wa riba, sasa wakopeshaji hawa wa kitaa wanaweka riba ya 30%to 50% kwa mwezi ambayo kwa mwaka ni 360% to 600%. Hiki kitu BOT hawapo tayari kuruhusu

Kwa hiyo bora ku apply mbinu ya kuchukua mali za wakopaji kama bond ili kupiga maisha (japo ni illegal). Nadhani kuna loop holes za kukwepa mkono wa sheria hapo
Na ndo minimum inayotakiwa na BOT. Kasajili kabisa chukua na mlango uwe na microfinance.
 
Usibishe

Kuna jamaa namfahamu vizuri sana, alipoona hawezi kulipa deni na muda wa kulipa umekaribia akasingizia kwamba ATM card imepotea

Unajua usumbufu wa kupotelewa na kadi ya bank wewe? Na utakuwa unaenda kila mwezi kusema umepotelewa na kadi?

HIVI kwann akili zetu zinawaza kwenye low capacity kiasi hiki? Mtu mzima unaanze kusema ataenda Bank kusema amepoteza kadi kisa 100k? Utaenda mara ngapi? Kwa taarifa yako wakopaji wa kwenye hizo biashara huwa addicted sana yaan hawaachi na huwa na urafiki mkubwa na mkopeshaji.

Ni ngumu sana kwa hivyo ulivyosema.. ALWAYS WAKOPAJE WA HUO MFUMO NI WATU WENYE TAMAA HIVYO NI NGUMU SANA KUWATOA.
 
Kuna jamaa anakwepa mkono wa sheria wa microfinance act kwa kumiliki hardware

Wanapokuja kukopa hela wanaandikisha kama wamekopa kifaa cha ujenzi

Mfano mtu anayekuja kukopa laki moja anaandikisha kama amekopa mifuko 6 ya simenti

Kwenye kudaiana jamaa anadai hela ya sementi lakini ki ukweli anachodai ni hela yake aliyotoa na riba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo namna unazosema huyo nduguyo anafanya dhuruma kwa kigezo cha shida ya mtu,mkopeshaji hua anatakiwa kujua kuna kurudishiwa deni kwa wakati au kucheleweshewa kulingana na hali ya kibiashara ya mkopaji,iko siku atakua na haki na atakutana na kisimi kimng'oe jicho na kipotee,utakuja kuhadisia kivingine tena. Shika hili lenye nimesema ili uje uwe shahidi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Mtu yoyote anayekopesha kwa riba ni dhulma haijalishi kubwa au ndogo.

Pili dunia ya Sasa ukitoa pesa kiungwana watu hawana wema hawakulipi kwahyo uchaguzi ni wa mtu binafsi .hakuna mtu anayelazimishwa kukopa
 
Mother wangu anafanya hiyo biashara mfano anakukopesha laki moja unalipa laki na 50 kwa mwezi na anamikataba unaandik piah saini ya mjumbe wako dhaman ya kitu , hasara zipo kuna wengin wanadhurum kutokulip kwa wakat sometimes kesi zinaendag hadi mahakamn
Halafu zikifika Mahakamani huwa inakuwaje? Mama huwa ANASHINDA KESI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na ikitokea mkopeshaj ni jeuri hataki kulipa, na kaenda kushtaki anataka arudishiwe mali yake?

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Unadhani unapewa pesa tu bila maandishi mkuu. Makubaliano lazima yawepo na ushahidi na mashahidi wa pande mbili.
 
Back
Top Bottom