Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

i wish hii post+comment yako ingekuep0 kabla ya mwezi wa 11 mwaka 2019. asee kilichonitokea sikai niamini kila nikikumbuka mtu from uMILLIONAIRE to nothing inauma mnoooo yaan

Sent from my SM-J320F using Tapatalk

Uli invest sh. Ngapi huko boss?
 
Huyu nae ni jambazi.
Hakuna microfinance inayofanya ujinga huo na ndo maana hata anatoa hovyo tu mkopo. We mtu anaenda kulima unampa mkopo wa kazi gani?
Huyu ni jambazi anayefaidika kwa shida za watu.
Utashika vitu vya wateja wangapi? Microfinance zote utaratibu ni mmoja lazima uwe na biashara iliyosimama inayoonekana.Uwe na wadhamini, mpeleke barua za serikali ya mitaa na ya mjumbe.
Wanakuja kukutathmini biashara yako na kupajua kwako na kwa wadhamini.
Mnakaa chini mnakubaliana kiasi gani na kwa muda gani? Rejesho utapeleka weekky bi weekly au kwa mwezi?
Unasaini form na unaandika nini security yako unaingiziwa mzigo.
Apa napingana na wewe maana ukumbuke kwamba changamoto ya mwenzako ndo fursa yako na ndo chanzo cha mapato yako , mfano wewe biashara unayoifanya ni mpaka wale watu wenye uhitaji na icho kitu unachokiuza ama kusupply waje ndo wewe unauza huduma yako sasa ukisema kwamba wakopeshaji wa aina hii wanatajirika kupitia shida za watu hii si kweli asee maana pia na wao waliona kwamba watu wanachangamoto ya kutokukopesheka kwenye ixo microfinance unazozisema na wanakuwa wanahitaji huo mkopo ivyo wakaichukua kama fursa na sasa wanapata kipato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante sana
Kwa huu mtaji inabidi uanze kukopesha majirani tena riba uweke 30% kuendelea.

Maximum amount isizidi 50000 hapo utaanza na wateja 12 kwa huo mtaji

Lenga akina mama maana sio wasumbufu wakulipa

Ukisema usajili micro credit kwa huo mtaji wa 600k haitoshi hata nauli ya mizunguko kutafuta kibali

Nikutakie biashara njema .

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu wafanya biashara wajasiriamali tuna mioyo migumu sana yaani kufirisika ni dakika zero.
i wish hii post+comment yako ingekuep0 kabla ya mwezi wa 11 mwaka 2019. asee kilichonitokea sikai niamini kila nikikumbuka mtu from uMILLIONAIRE to nothing inauma mnoooo yaan

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Kuna baby wangu alinikopesha hela.
Vha ajabu hata sijailipa na bado nikapatwa na shida nyingine akanisaidia.
Na akanitumia na tena na tena.
Ila bado nadaiwa nitamlipa tu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Hahahaha, huyo sawa
 
Huyu yeye anafanyaje mkuu
yeye anacheza rough moja kubwa kuliko maana yy anakopesha watumish wa serikali na wanaoelekea kustaafu tuuu. anachofanya n kwamba anakupa mkopo then mnaandiishiana kwamba mshahara ukiingia bas yy anaenda kutoa pesa alokukopesha plus riba then ndo unaenda kuchukua ATM yako (mana wakat wa kuchukua mkopo unaacha atm, na sometime huwa anabadlisha hata paswed za atm ili usije ukaenda kusema umeipoteza). sasa bhaana kwa wastaafu ndo utacheka maana anaweza kumkopesha mtumishi laki 2 yaan ile mkopaji.anaondoka tu,jamaa anaongeza sifuri moja inakuwa milion 2 sasa njoo uone riba yake saasa asee watu huwa wanalia n balaa.

japo jamaa anapata pesa but its certain kind of robbery.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
MWONGOZO 2 (MABORESHO): Masharti na taratibu za kupata leseni ya biashara ya kutoa mikopo kwa kutumia mtaji binafsi - JamiiForums pitia hiyo thread.
Usifanye local rafiki.
Usifanye kuwaumiza watu au kutaka kutajirika kwa ajili ya shida za watu.
Fuata taratibu za serikali.
Utafaidika mbona satu kibao wanaendesha maisha kwa hizi microfinance.
Kafungua ofisi mkurugenzi mwenyewe na mfanyakazi mmoja huyo ndo secretary sijui loan officer wanapiga mzigo
good

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
 
Kwanza hii biashara hutakiwi kuwa na roho ya huruma Nina dada angu anaifanya mwaka wa nane na ndio biashara inayomuweka mjini

Anakopesha kuanzia 10000 mwisho laki tatu. Riba anafanya asilimia 50 ndani ya mwezi mmoja. Anayekopesha lazima aweke kitu na hicho kitu analetewa sio abaki nacho mkopaji , vitu anavyopokea vifaa vya umeme mfano TV, radio , pasi nk.

Vito vya thamani dhahabu , silver , tanzanite nk kabla ya kumpa mteja pesa anaenda kuvipima kujua thamani yake ana sonara yake maalum.

Hapokei kiwanja Wala hati ya nyumba, anayeleta pikipiki au gari anaacha na kadi.

Anavyokopesha mfano mtu akiwa shida na laki , anatakiwa aweke vitu vyenye thamani ya laki na nusu pamoja anajumlishia na thamani ya riba. Anamletea ikifika muda wa malipo asipoliopa anaweza akamletea faida 50000 Deni Lina baki palepale, mkopaji akikaa kimya mfano miezi miwili anampigia simu muhsika kumuuliza vp akiwa Hana jibu anamwambia tumemalizana Basi vitu vyako nauza Mimi na wewe tumemalizana.

Unakuta mtu labda kamuachia flat screen nch 32 kapewa laki moja so hata akiuza laki nanusu yeye faida yake ipo

Kikubwa uwe makini na vitu wanavyoleta wateja ni biashara nzuri ila yahitaji umakini wa Hali ya juu.
Hizo namna unazosema huyo nduguyo anafanya dhuruma kwa kigezo cha shida ya mtu,mkopeshaji hua anatakiwa kujua kuna kurudishiwa deni kwa wakati au kucheleweshewa kulingana na hali ya kibiashara ya mkopaji,iko siku atakua na haki na atakutana na kisimi kimng'oe jicho na kipotee,utakuja kuhadisia kivingine tena. Shika hili lenye nimesema ili uje uwe shahidi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
yeye anacheza rough moja kubwa kuliko maana yy anakopesha watumish wa serikali na wanaoelekea kustaafu tuuu. anachofanya n kwamba anakupa mkopo then mnaandiishiana kwamba mshahara ukiingia bas yy anaenda kutoa pesa alokukopesha plus riba then ndo unaenda kuchukua ATM yako (mana wakat wa kuchukua mkopo unaacha atm, na sometime huwa anabadlisha hata paswed za atm ili usije ukaenda kusema umeipoteza). sasa bhaana kwa wastaafu ndo utacheka maana anaweza kumkopesha mtumishi laki 2 yaan ile mkopaji.anaondoka tu,jamaa anaongeza sifuri moja inakuwa milion 2 sasa njoo uone riba yake saasa asee watu huwa wanalia n balaa.

japo jamaa anapata pesa but its certain kind of robbery.

Sent from my SM-J320F using Tapatalk

Wengine anakupa ATM Card yake na ikikaribia mwisho wa mwezi anaenda kusema kule bank kwamba amepoteza card yake na mwishowe pesa yake ataitolea ndani(counter).
 
Hizo namna unazosema huyo nduguyo anafanya dhuruma kwa kigezo cha shida ya mtu,mkopeshaji hua anatakiwa kujua kuna kurudishiwa deni kwa wakati au kucheleweshewa kulingana na hali ya kibiashara ya mkopaji,iko siku atakua na haki na atakutana na kisimi kimng'oe jicho na kipotee,utakuja kuhadisia kivingine tena. Shika hili lenye nimesema ili uje uwe shahidi

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature

Kisimi tena.?
 
Huyu nae ni jambazi.
Hakuna microfinance inayofanya ujinga huo na ndo maana hata anatoa hovyo tu mkopo. We mtu anaenda kulima unampa mkopo wa kazi gani?
Huyu ni jambazi anayefaidika kwa shida za watu.
Utashika vitu vya wateja wangapi? Microfinance zote utaratibu ni mmoja lazima uwe na biashara iliyosimama inayoonekana.Uwe na wadhamini, mpeleke barua za serikali ya mitaa na ya mjumbe.
Wanakuja kukutathmini biashara yako na kupajua kwako na kwa wadhamini.
Mnakaa chini mnakubaliana kiasi gani na kwa muda gani? Rejesho utapeleka weekky bi weekly au kwa mwezi?
Unasaini form na unaandika nini security yako unaingiziwa mzigo.
Yeah sure; ni aina flani ya ujanja ujanja. Na mbaya zaidi huwa hawa akiki kama Mali ni zako kweli ama za wizi: wao wanapokea tu.

Sema microfinance nyingi sikuhizj hazifuati taratibu kama hizi ulizoziorodhesha.( wanafanya watakavyo sababu mamlaka zimelala)

BoT wametoa muongozo mzuri ila kama navyojua Tanzania nchi yangu kwenye swala la ufuatilaji na utekelezaji wa sheria zilizowekwa Mara nyingi ni mdogo.
 
Nakumbuka kuna mchizi wangu yeye huwa anakopesha kwa 20% ya pesa atakayokupatia marejesho ni ndani ya mwezi mmoja tu ...kigezo kimojawapo ni mkopaji awe mtumishi wa serikali au Sekta binafsi inayotambuliwa kwa mujbu wa sheria....Wakopaji wengi muda wa marejesho ukifika wanalipa riba tu kisha wanaendelea kubaki na deni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom