Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Biashara ya ukopeshaji pesa kwa riba

Kama yupo Dar, njoo PM uniunganishe na mdaiwa kesi imeisha
Kuna jamaa yangu alikopa shilingi milioni 2; malipo kwa mwezi ambapo anatakiwa alipe milioni 2 na 320,000/= kama riba. Ikatokea alishindwa kulipa miezi 6 kwani alipatwa na dharula. Hivyo alivyorudi tena kulipa akapewa hesabu zifuatazo: a/ Mkopo halisi milioni 2, b/Riba 320,000/= x miezi 6 = 1,920,000/=, c/Faini 20,000/= x siku 30 x miezi 6 = 3,600,000/=, d/Malipo fomu ya maombi 50,000/= x miezi 6 = 300,000/= Jumla anatakiwa kulipa Shilingi 7,820,000/=. Yapata miezi 4 sasa jamaa hawajafikiana muafaka namna ya kumalizana, dhamana ilikuwa ni kadi ya gari ya mkopaji. Hatahivyo mkopeshaji anasema thamani ya gari haifiki deni la milioni 7 na laki 8 elfu 20. Bado wanalumbana tu, hawajapelekana mahakamani, ingawa mkataba ulijazwa. Kwa jumla biashara hiyo ni changamoto ingawa riba ni kubwa sana, faida kwa mkopeshaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii biashara imemfilisi mwamba wangu mmoja huku mwanza, mara ya Kwanza alikuwa , anapiga pesa kinyama .... Et the end wamemsafisha kikuzi , asikudanganye mtu hii business ina hela Sana ila mwisho wa siku lazima usafishwe tuuu hata ufanyeje.....
Ushauri Kwa anayetaman kufanya hii kitu afanye kama njia ya kutokea lakn ukiifanya kama ndo central figure ya lyfe lako utakuja kulia na kusaga meno
 
Hii biashara imemfilisi mwamba wangu mmoja huku mwanza, mara ya Kwanza alikuwa , anapiga pesa kinyama .... Et the end wamemsafisha kikuzi , asikudanganye mtu hii business ina hela Sana ila mwisho wa siku lazima usafishwe tuuu hata ufanyeje.....
Ushauri Kwa anayetaman kufanya hii kitu afanye kama njia ya kutokea lakn ukiifanya kama ndo central figure ya lyfe lako utakuja kulia na kusaga meno

Explain how


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilifanya kazi ya afisa mikopo kwenye kampuni moja ...nilitoa mikopo kwa vikundi vya akina mama Na vijana, mtu mmoja mmoja kwa wafanyabishara Na waajiriwa... Niliexperience mambo kadhaa cha kwanza culture ya kulipa Bado ni Tatizo Sana unapowekeza pesa elewa kuna PESA nyingi utapoteza Sana hasa dhamana akibakiwa nayo mkopaji. Kuna wateja wengine kazi yao ni kutapeli kila taasisi wako very smart hapo inahitaji umakini wako hali ya juu, ukipata wateja wachache wazuri nakusihi usiwaache kama wanaweza kukopa pesa nyingi wakopeshe hao ndio wataoendesha biashara yako ,kupata wasumbufu ni kawaida. Ukiwa mtu WA stress na kupanic usifanye unaweza kuwa chizi. Toka Niache hii kazi sijawahi shawishika kufanya hii biashara....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo anafanya local ndo maana anatoa riba ya 50% kwa mwezi ina maana kwa mwaka riba ni 600%.
BOT walitengeneza micro credit act 2018 wanaziregulate sana hizi microfinance.
Sasa hizi zote zina same interest rate,masharti moja na
zote zinakuwa monitored na CRB hao wa kuwa na riba ya 50% kwa mwezi ni maharamia wa mtaani.na ili uwafanyie watu hivyo inatakiwa uwe na moyo mgumu sana roho mbaya maana kawaida mtu amayekopa laki kwa kulipa laki na nusu na akapelekea tv ya nchi 32 amini nakuambia huyo ana tatizo kubwa na kahangaika kote amekosa hana jinsi tu.
Ndugu, kwani BoT wanapanga riba? Naomba unitoe tongotongo tafadhali.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kusafishwa kiaje ndugu?
Hii biashara imemfilisi mwamba wangu mmoja huku mwanza, mara ya Kwanza alikuwa , anapiga pesa kinyama .... Et the end wamemsafisha kikuzi , asikudanganye mtu hii business ina hela Sana ila mwisho wa siku lazima usafishwe tuuu hata ufanyeje.....
Ushauri Kwa anayetaman kufanya hii kitu afanye kama njia ya kutokea lakn ukiifanya kama ndo central figure ya lyfe lako utakuja kulia na kusaga meno
 
kukipata hcho kibali n changamoto..mana kama skosei,BOT wanahtaji uwe na minimum capital ya 20milions
I stand to be corrected

Sent from my SM-J320F using Tapatalk
Kama unaaminika unaweza chukua au hazima hicho kiasi kwa mtu kikae kwenye A/c yako then wakimaliza shughuli zao unarudisha.
Kuna watu niliwa fungulia Microfinance asee...wanapiga hela.
Chamsingi anza kukopesha mdogo mdogo pia kuwa na wadau fulani ambao hao wakikuletea wateja ndio wata wadhamini...lenga wafanyakazi hivii.
 
Kama unaaminika unaweza chukua au hazima hicho kiasi kwa mtu kikae kwenye A/c yako then wakimaliza shughuli zao unarudisha.
Kuna watu niliwa fungulia Microfinance asee...wanapiga hela.
Chamsingi anza kukopesha mdogo mdogo pia kuwa na wadau fulani ambao hao wakikuletea wateja ndio wata wadhamini...lenga wafanyakazi hivii.
Kama riba ni za kiungwana Perfect then

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I Pin copied text snippets to stop them expiring after 1 hour
 
Mother wangu anafanya hiyo biashara mfano anakukopesha laki moja unalipa laki na 50 kwa mwezi na anamikataba unaandik piah saini ya mjumbe wako dhaman ya kitu , hasara zipo kuna wengin wanadhurum kutokulip kwa wakat sometimes kesi zinaendag hadi mahakamn
Mother ako Ni mjonyajii na muhujumu uchumi,laki kwa laki na nusu hiyo nizuluma kubwa Sanaa Ina maanisha riba asilimia 50
 
Kwanza hii biashara hutakiwi kuwa na roho ya huruma Nina dada angu anaifanya mwaka wa nane na ndio biashara inayomuweka mjini

Anakopesha kuanzia 10000 mwisho laki tatu. Riba anafanya asilimia 50 ndani ya mwezi mmoja. Anayekopesha lazima aweke kitu na hicho kitu analetewa sio abaki nacho mkopaji , vitu anavyopokea vifaa vya umeme mfano TV, radio , pasi nk.

Vito vya thamani dhahabu , silver , tanzanite nk kabla ya kumpa mteja pesa anaenda kuvipima kujua thamani yake ana sonara yake maalum.

Hapokei kiwanja Wala hati ya nyumba, anayeleta pikipiki au gari anaacha na kadi.

Anavyokopesha mfano mtu akiwa shida na laki , anatakiwa aweke vitu vyenye thamani ya laki na nusu pamoja anajumlishia na thamani ya riba. Anamletea ikifika muda wa malipo asipoliopa anaweza akamletea faida 50000 Deni Lina baki palepale, mkopaji akikaa kimya mfano miezi miwili anampigia simu muhsika kumuuliza vp akiwa Hana jibu anamwambia tumemalizana Basi vitu vyako nauza Mimi na wewe tumemalizana.

Unakuta mtu labda kamuachia flat screen nch 32 kapewa laki moja so hata akiuza laki nanusu yeye faida yake ipo

Kikubwa uwe makini na vitu wanavyoleta wateja ni biashara nzuri ila yahitaji umakini wa Hali ya juu.
Hiyo Ni zulmaa...msilee Wala msitoe riba
 
Wewe mbona ulikuwa unakula riba kupitia salary?
Hahhaa....niliona Ni zulmaa,na pia ilikua inaniumiza roho sana kwenda kudai pasipo na hurumaa.na ndo maana nikaacha
 
Back
Top Bottom