S Sharedbusiness Member Joined Dec 15, 2018 Posts 6 Reaction score 5 Dec 16, 2018 #1 Ninahitaji MTU wa kushirikiana naye kwenye biashara ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza mkoa wa Mtwara na Lindi.
Ninahitaji MTU wa kushirikiana naye kwenye biashara ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza mkoa wa Mtwara na Lindi.
GUSSIE JF-Expert Member Joined Dec 2, 2014 Posts 3,880 Reaction score 11,134 Dec 16, 2018 #2 Sharedbusiness said: Ninahitaji MTU wa kushirikiana naye kwenye biashara ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza mkoa wa Mtwara na Lindi. Click to expand... Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea
Sharedbusiness said: Ninahitaji MTU wa kushirikiana naye kwenye biashara ya kuzalisha unga wa sembe Songea na kusambaza mkoa wa Mtwara na Lindi. Click to expand... Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea
Hajto JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 5,646 Reaction score 5,606 Dec 16, 2018 #3 GUSSIE said: Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea Click to expand... Kumbuka sio watu ni wakulima huko Lindi ama Mtwara,Biashara haichagua mazingira ya sehemu ilipo
GUSSIE said: Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea Click to expand... Kumbuka sio watu ni wakulima huko Lindi ama Mtwara,Biashara haichagua mazingira ya sehemu ilipo
S Sharedbusiness Member Joined Dec 15, 2018 Posts 6 Reaction score 5 Dec 16, 2018 Thread starter #4 GUSSIE said: Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea Click to expand... Mkuu nitumie neno mahitaji. Ndio Mtwara na Lindi Luna mahitaji ya unga kutoka Songea
GUSSIE said: Mtwara na Lindi kuna shida ya unga? Huko Newala wanalima mahindi au Mtwara mjini? Masasi wanakula mihogo Kuna magari ya Msemo miaka ile ya 2004 mpaka 2011 yalikuwa yanapeleka unga Mtwara na kurudi na nazi Songea Click to expand... Mkuu nitumie neno mahitaji. Ndio Mtwara na Lindi Luna mahitaji ya unga kutoka Songea