aminiusiamini JF-Expert Member Joined Aug 25, 2011 Posts 3,577 Reaction score 2,224 May 5, 2016 #1 Wakuu naomba kupata hali ilivyo katika biashara ya kuuza unga wa mahindi. 1.Hasara na faida zake. 2.Changamoto zake 3.soko 4.Aina ya mahindi mazuri kununua. 5.Upatikanaji wa mashine za kukoboa na kusaga zenye ubora. Natanguliza ahsante nyingi.
Wakuu naomba kupata hali ilivyo katika biashara ya kuuza unga wa mahindi. 1.Hasara na faida zake. 2.Changamoto zake 3.soko 4.Aina ya mahindi mazuri kununua. 5.Upatikanaji wa mashine za kukoboa na kusaga zenye ubora. Natanguliza ahsante nyingi.