oko majimaji
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 790
- 2,079
Ujue nishaumiza kichwa sana kufikiria kuajiriwa sema nin yatosha sasa
Nafikiria kuuza maandazi chapati na keki
Nakaribisha mawazo yenu.mtaji mpaka sasa sijapata ila ujuzi ninao hata kama sio mkali kiivyo.Nina imani wateja sikosi profit per day 7000 target ya kuanzia,location kigamboni.
Kama kuna mtu humu ashafanya hii biashara msaada wako tafadhali kabla sijala loss.
Hujaeleweka unataka nn mkuu, mtu mwenye capital coz ww ujuz unao?, je unahitaji ushauri tu namna ya kuanza ili usile loss?? Weka wzUjue nishaumiza kichwa sana kufikiria kuajiriwa sema nin yatosha sasa
Nafikiria kuuza maandazi chapati na keki
Nakaribisha mawazo yenu.mtaji mpaka sasa sijapata ila ujuzi ninao hata kama sio mkali kiivyo.Nina imani wateja sikosi profit per day 7000 target ya kuanzia,location kigamboni.
Kama kuna mtu humu ashafanya hii biashara msaada wako tafadhali kabla sijala loss.
DONT FORGET A STANDBY GENERATORSalaams JF,
Nilipata wazo la kuanzisha bakery maeneo ya sinza. Products ni ; Mikate, Maandazi na cakes aina mbalimbali. Sikuomba au kutafuta ushauri kwa mtu yeyote. Pia sijafanya research ya uhakika kuhusu mahitaji halisi ya hizo bidhaa ninazotaka kuingiza sokoni. Pia sijafanya utafiti kuhusu ushindani wa hii biashara. Nimeamua kuchukua RISK 100% katika kuwekeza huko kwenye bakery. Kwahiyo bado sijaelewa / sijajua kama nipo njia sahihi au nimekosea. Naomba ushauri na uelewa wenu kwenu hii biashara.
Hadi sasa nimefanikiwa kupata vitu vifuatavyo;
- Machines- 3 Ovens ( moja kubwa inaingiza paltes 6 na nyingine mbili ni ndogo zinaingiza plates 2 kila moja); 1 Mixer aina ya B30; Shelf; 30 Oven Plates,
-Nimepanga Jengo na kulifanyia ukarabati kulingana na mahitaji ya kazi.
-Nimesajili jina la biashara
-Nimeshapata na TIN
-Nimeshapata leseni
Vitu vinavyohitajika kwa sasa ni;
-Connecting service line ( electricity) kwenye jengo ambalo nimeshafanya wiring
-TFDA authorization
-Source of more finance
-Hard working, knowledgeable and skilled person ( Baker) ambaye ataweza kutengeneza bidhaa mbalimbali
-Bread slicer
-Manager and cashier
-Marketing and sales person
-Distributor
Je mnaonaje wakuu? Je nipo sahihi? Nawakilisha
===========
SIMILAR CASES:
===========
Jan 19, 2012:
nifundishe namna ya kutengeneza mikate mkuuWatu kila siku wanakula, anzisha kiwanda cha mikate.
Shule ni biashara nzuri ila inahitaji fedha nyingi na mzunguuko mrefu hadi kuisajili, pamoja na ardhi ya kutosha kwa ajili ya michezo kwa wanafunzi, ingawa sijajua unataka kuanzisha ya level gani, nursery, primary, sec au ufundi. Faida kubwa ni kuwa mtu hawezi kukuibia! Maana hesabu zake zinategemea na idadi yz wanafunzi ulionao! Mikate hakuna complication isajili biashara yako kaa location nzuri utainuka! Pia unaweza changanya na maandazi, sconzy!Nimejaribu kutafuta threads zinazozungumzia hizo biashara mbili sijaziona,hebu wazoefu njooni tujadili hizo biashara hasa tukiangalia kiasi cha mtaji cha kuanza nacho na changamoto zake.
Kwa mfano ukataka kuanzisha dodoma,je ushindani uko vp huko!?je ni biashara inayokutaka muda wote uwepo sehem husika!?
Tatizo watengeza keki hawana ubunifu kabisa ni kuigana tuu.....ladha ile ile wanatofautiana decorations tuu.... akitokea mwenye ubunifu na aliye tayari kujaribu atapata mafanikio sana.
Bila mtaji wakutosha apa unachemkaHapo inabd uwe na jiko kubwa ili upike kwa trei(kama n za kukata) au upike cup cake nying kwa wakt mmoja! Hayo majiko yapo kuanzia milion moja na nusu had milioni nne! Mixer inabd uwe nayo ya milioni moja na nusu, so ukiwa na milioni tatu inatosha!