Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

Imekaa poowah sana.

All the best ndugu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ipi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi ndugu ushafungua au bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Anza na DAY care, Panga nyumba then kuwa mdogo mdogo then utafika huko kwenye International school.
 

Bishaara gani hizo mbili ?
 
Mm nafanya hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari,

Habari za mchana naomba kupewa ufafanuzi juu ya gharama, na vigezo ili uanze kuanzisha kiwanda cha mikate na changamoto zake kwa mwenye uelewa na hii biashara.

Naomba kuwasilisha.
 
Nipo siti ya mbele kabisa

Hii kitu ipo kweny mipango yngu!
 
Wakuu habari,

Habari za mchana naomba kupewa ufafanuzi juu ya gharama, na vigezo ili uanze kuanzisha kiwanda cha mikate na changamoto zake kwa mwenye uelewa na hii biashara.

Naomba kuwasilisha.
10million for starting sio mbaya, na one VAN for physical distribution itafaa itakua vizuri zaidi
 
Jamaa yangu hapo jirani aliwahi kufunga veranda yake kwa tofali...akamodifai akaichanganya na sebule akafungua bekari. Akaingiza majiko akawa anatengeneza mikate keki n.k

Biashara haikufikisha miezi 6 akaachana nayo.
 
Jamaa yangu hapo jirani aliwahi kufunga veranda yake kwa tofali...akamodifai akaichanganya na sebule akafungua bekari. Akaingiza majiko akawa anatengeneza mikate keki n.k

Biashara haikufikisha miezi 6 akaachana nayo.
Huyo ni yeye na muomba ushauri ni mtu mwingi, watu hawafanani nyota za kibiashara, hii ni njia ya kujikatisha tamaa.
 
Huyo ni yeye na muomba ushauri ni mtu mwingi, watu hawafanani nyota za kibiashara, hii ni njia ya kujikatisha tamaa
Sasa angekua anaulizia nyota yake ya biashara si angetafuta Wanajimu asingekuja JF?

Mimi nimempa scenario inayolenga kumpa angalizo kwamba afanye utafti wa kutosha kuhusu biashara hiyo.

Kwa akili yako hiyo iliyobireshwa na elimu ya kiwango hicho unaweza kweli ukasema "biashara ni nyota"? Au unaona raha mwenzio aingie kichwakichwa afilisike ?
 
Biashara ya bakery haina faida ni biashara kichaa,Faida ya mkate mmoja ni shilingi 50/= tu ya Tanzania kama ukipata sana.Mkuu fanya ishu nyingine maana Mtaji ni mkubwa faida ni kidogo ndio maana kuna mdau kasema kuna mtu kafanya kwa miezi 6 kaifunga.

Sipo kukukatisha tamaa mtaji wa ziaidi ya milioni kumi utauhitaji,maoven,dough mixer,brade slicer,Cake mixer,Bread and cake tins,racks za kuwekea,then twende kwenye kusajili kampuni,kodi ya pango na Raw materials then gari la kusambaza then petrol then kodi ya mapato,kwa kitu gani?50/=?Kuna biashara nyingi za kufanya mkuu achana na hiyo kazi.
 
Hujanielewa wewe, nakueleza kama alifeli huyo sio lazima kila mtu afeli, kila mtu ana ujuzi wake wa kukuza biashara, umesema tu mtu hakufika miezi 6 akafunga biashara hujaeleza kilichofanya afunge biashara ni kama umekurupuka tu kunijibu kiholela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…