Maeneo nayosemea mimi hakuna kabisa huduma hizo, nilifikwa na majanga maeneo hayo nikasumbuka sana kwa hiyo nataka vifaa vya kawaida tu, anayefanya biashara hii akitusaidia itakuwa vizuri.Asante, mtizamo wako ni mzuri sana, kabla ya yote fanya savei kwenye vituo husika ujionee aina gani ya mitambo inayotumika, hii itakusaidia kuchagua vifaa vip imara na vyenye bei linganifu na uchumi wako, nasemea hivo kwa sababu kuna biashara kama hizi zinafanyika kwa vifaa makini na mahili na wengine tu ni vijiwe vya kazi, vingine ni ofisi ya kazi.
Inategemea na mtaji wako ukoje
Hapo kuna compressor sijajua utahitaji ya ukubwa gani na ya nchi gani
Mashine za kuvulia tyre pia bei zake inategemea na made in wapi
Eneo zuri ni kama ulilosema huduma hiyo ni ya tabu
Mashine nzuri ni za kiitaliano kwenye biashara hii
Nimepoteza contact za jamaa wa dukani wanapouza hizi mashine
Ila nikipata muda nitakupa contact zao
Mkuu ulifanikiwa kupata msaada WA vifaa na bei?Maeneo nayosemea mimi hakuna kabisa huduma hizo, nilifikwa na majanga maeneo hayo nikasumbuka sana kwa hiyo nataka vifaa vya kawaida tu, anayefanya biashara hii akitusaidia itakuwa vizuri.
Bro ukipata contacts zao naomba unikumbuke, piga hapa 0627666000Inategemea na mtaji wako ukoje
Hapo kuna compressor sijajua utahitaji ya ukubwa gani na ya nchi gani....