Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,714
- 2,376
Salaam wakuu,
Kadri unavyotembea ukakutana na changamoto ndivyo kichwa kinavyofikirishwa. Last week nilikuwa sehem flan nikafikwa na changamoto iliyonifanya niwaze kitu kilichonifanya nianze kusaka majibu.
Ni vifaa gani vinavyohitajika kuanzisha biashara ya kuziba pancha za magari, kujaza upepo, kubadlisha tairi, na pengine kupima alignemnt?
Ningependa kupata orodha ya vifaa na gharama zake, pengine na mahala vinakopatikana. Napenda kujifunza kwa wanaofanya biashara hii pia, ina changamoto zipi?
ASANTENI
Kadri unavyotembea ukakutana na changamoto ndivyo kichwa kinavyofikirishwa. Last week nilikuwa sehem flan nikafikwa na changamoto iliyonifanya niwaze kitu kilichonifanya nianze kusaka majibu.
Ni vifaa gani vinavyohitajika kuanzisha biashara ya kuziba pancha za magari, kujaza upepo, kubadlisha tairi, na pengine kupima alignemnt?
Ningependa kupata orodha ya vifaa na gharama zake, pengine na mahala vinakopatikana. Napenda kujifunza kwa wanaofanya biashara hii pia, ina changamoto zipi?
ASANTENI