Biashara ya Usafirishaji kwa Bajaji: Ueandeshaji, Changamoto, Faida na Ushauri

RealTz77

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2009
Posts
738
Reaction score
41


Nawasalimu wakuu woote wana JF. Mwenzenu nimepata kamshiko kama 8m sasa ninataka ninunue bajaj najua hapa mjini Dar zinatumika sana, naomba kwa yeyote mwenye uzoefu anisaidie ni Shs ngapi dereva anatakiwa alete kwa siku au week? Nashukuru naelewa humu ndani wapo wengi wanaofanya hii biashara. Je, is it worth?

Asanteni sana, nasubiri majibu hapo chini.

WADAU WENGINE WANAOHITAJI UELEWA WA BIASHARA HII


MICHANGO YA WADAU
 

Sijui unataka kuifanyia wapi biashara yako, lakini kwa kule kwetu Tegeta unalamba 15,000 mpaka 20,000 kwa siku. Ni kabiashara kazuri ukimpata dereva mzuri. Maintenance cost yake iko chini sana. Ila ucheze mbali na kina Chenge.
 
Mtu wangu angalia huyo dereva utakae mwajiri maana wengi wao wanaua Bajaj kwa makusudi kabisa. Kwa taarifa yako wanachanganya lita moja ya petroli na lita moja ya diesel halafu wanatumia mchanganyiko huo kuendesha Bajaj. Muda sio mrefu Bajaj inaanza kufoka moshi.

At the end of the day, dereva anatengeza fedha yake thru many trips per liter of mixed diesel & petrol per day at your expense of high cost of maintenance of the Bajaj. Please Watch out if you want to invest in this project.
 
Okay nafurahi sana wadau kwa mawazo yenu, na nitazingatia hayo yote mlioniambia, especially la dereva ni muhimu sana nalo. Nitampeleka course ya integrity.
 
Okay nafurahi sana wadau kwa mawazo yenu,na nitazingatia hayo yote mlioniambia, especially la dereva ni muhimu sana nalo. Nitampeleka course ya integrity

Mkuu tafadhari watafutie nafasi na viongozi wetu wa serikali, Watanzania tupo tayari kuwalipia ada.
 
Okay nafurahi sana wadau kwa mawazo yenu,na nitazingatia hayo yote mlioniambia,especially la dereva ni muhimu sana nalo.nitampeleka course ya integrity

Where is the location of the school of integrity for these kind of drivers? Majority are either illitrate or Primary school leavers and bhang smokers having graduated from bicycle ridding. They do not pocess driving licences and do not know traffic rules and regulations. Borrow a leaf from Chenge's accident in which the Bajaj driver disappeared in the thin air todate.
 
Tafuta mradi mwingine uwekeze pesa zako. Biashara ya Bajaji ugonjwa wa moyo kweli. Madereva wezi, na Bajaji zenyewe ni target kwa waporaji. Usije shangaa ukamuokota dereva wako msitu wa Pande kaning'inizwa huko.
 
Tafuta mradi mwingine uwekeze pesa zako. Biashara ya Bajaji ugonjwa wa moyo kweli. Madereva wezi, na Bajaji zenyewe ni target kwa waporaji. Usije shangaa ukamuokota dereva wako msitu wa Pande kaning'inizwa huko.

Hata Bajaj? Nilijua pikipiki pekee, mi nataka bajaj tri-circle mkuu, sasa kama hivyo tena mimi m8 ntafanyia nini?kama sio kuanza kupanga machungwa barabarani? Haitoshi hata kodi ya mwaka kariakoo pamoja na mzigo, u see bora kama vipi nivifaidi vi 15000-20000 per day kama vipi ndo iwe ilivyo, 8m ndogo sana kuumiza kichwa kuinvest, otherwise iwe ya kupombeka?
 

Ulianza vizuri sana na hii mada ila sasa busara inaanza kukutoka.Please maintain Business focus yako, usikate tamaa it's too early to think of kupombeka at this juncture. Try do some thing with that 8m,sio ndogo kivile my brother.
 
Ulianza vizuri sana na hii mada ila sasa busara inaanza kukutoka.Please maintain Business focus yako, usikate tamaa it's too early to think of kupombeka at this juncture. Try do some thing with that 8m,sio ndogo kivile my brother.

Nimekupata mheshimiwa, then no turning back.
 
I think Bajaj is a good idea.U invest capital ndogo na pia unapata faida bila cost kubwa. Cha msingi ni kupata mwendeshaji mzuri wa mradi wako huu na uweke malengo yako.Ukipata 15000 per day times 365= 5,475,000 WHICH ni gharama ya manunuzi ya bajaj hiyo baada ya hapo unaanza kula faida.

Suala la wizi ningekushauri insurance uweke COMPREHENSIVE ili ku-secure ur capital.

Good luck bro
 
Kaka hongera kwa uamuzi wa busara!biashara yoyote ile ni lazima kuwe na risk!cha muhimu ni wewe mwenyewe kuwa risk taker,si unajua tena high risk high return?

Kuhusu business ya bajaj ni very simple kuiendesha kwake!
Kuna kitu wanaita perfomance contract!unaandikiana na driver wa hiyo bajaj!makubaliano ni kuwa kila siku shs 20,000 kwa muda wa mwaka mmoja bajaj inakua ni mali yake!

Akipata ajali ya kizembe imekula kwake unachukua bajaj yako!wala hutakaa kichwa kikuume.

Mahesabu yake ni hivi kwa mwezi ni 20,000x30=600,000
Kwa mwaka ni 600,000x12=7,200,000

Bajaj umenunua milion 4 so unakunja faida ya milion 3.2 kiulainiiiiiii

Ukiwa na zo kama 2 hv unakula kuku tu.
 
Last edited:
Huo ni mtaji tosha tukachukue mbao malawi na mie nitaweka hapo another 8 m then tunashusha mbao mombasa kuna watu wana export pale infact baada ya week 3 tunakuwa tume make profit ya 2.8 mil baada ya kutoa cost zote, believe me. Kwahiyo, tukipiga pasu kila mtu ana pata 1.4m kama we ni mtu wa kupombeka toa tena hiyo 4 utabaki na 1 m piga ua.hutapata chini ya hapo. Welcome on board. Kama una uchungu wa ku make bakaaa.
 

Jaribu kulima mkuu.

Mahindi heka moja kulima mpaka kuvuna ikizidi sana 300,000. Hujashika jembe hapo mkuu, ni vibarua na mashine. Ukivuna hata mahindi mabichi 5,000 tu (yanaweza kufika hata 10,000) na ukayauza kwa sh 100 kila moja. Unatengeneza 500,000. Faida 200,000.

Ukitumia 6M yako waweza kulima heka 20. Faida yako 4,000,000 . Na hii umelima mara moja tu kwa mwaka (miezi mitatu).

Kwa bajaji ikikaa barabarani siku 5 kwa wiki na bila matatizo yoyote yanoyihitaji spare, na ukichukulia mafuta yote yanawekwa na dreva, utatengenza 4,000,000 kwa mwaka mzima.
 
Oyaaa! nipe mm hiyo 8m, nitakulipa 80,000 kwa wiki kwa mwaka mmoja, then nakurudishia 8m yako.
 
Gkundi are you serious na proposal yako ya 80k per week? Nini security ili ukiingia mitini mtu ajue atapata vipi 8m yake!
 
Bei ya bajaj ni Tshs 4.5m mpaka Tshs. 5m na madereva hupelekaTshs. 15,000/= kwa siku. Kwa hesabu za haraka haraka unaweza kuona kama mradi mzuri sana lakini ukitulia na kuongea na anaefanya biashara hiyo atakwambia si biashara ya kukimbilia.

Mapungufu makubwa ya bajaj ni quality ya bajaj na short economic life. Bajaj hazina uimara wa kutosha na baada ya muda mfupi zinaanza kusumbua. Madereva ni tatizo jingine, wanaibebesha bajaj kama pick up.
 

Mkuu vipi mvua au proper irrigation? Kama irrigation sure this is a deal,na well bajaj sina uhakika kuwa ina guarantee ya mda gani!kama ni chini ya 3yrs nayo si deal kivile,well thank u much kwa michango yenu, nadhani tz tunaweza ila mawazo ya kuchangiana mtu unakosa unajikuta wajitosa kichwa kichwa at the end unaua mtaji. Very bad!!
 
Kuwa na moyo, jitahidi kupata mtu unayemuamini kama dereva na pia usicheze mbali!!kubali kitu kimoja kwamba piga ua suka lazima atakupiga bao kiasi fulani ila aghalau iwe ni kiwango cha chini!! pia, si unajua wanasema "u have to take risk in ur life, the bigger the risk, the higher the return" , usicheze mbali!
 
Usirudi nyuma ndugu yangu songa mbele na wazo lako la biashara ya bajaj, huo ndio ujasiriamali wenyewe kwani kila biashara ina risks zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…