Biashara ya usafirishaji wa Abiria

Biashara ya usafirishaji wa Abiria

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Wakuu salama.

Hii fursa nimeiona huku Kanda ya ziwa.

Kimsingi Mimi ni mtumishi wa Umma, zaidi ya mshahara sina chanzo kingine.

Sasa nimefanya tafakur na kuibuka na wazo la kuchukua mkopo CRDB ninunue gari ya abiria. Ikiwezekana niweke rut ya Geita DC - Geita town. au Katoro - Chato.

Wazo langu nipate gari ya pesa isiyozid mil. 15 ,mkopo huo uwe wa Miaka 7

Naomba ushaur , maoni n.k Kwa mwenye lolote juu ya Aina ya gari itayofaa. Changamoto ambazo nijiandae kukabiliana nazo n.k
 
Kama upo mitaa hiyo minakushauri bora ulime ama uandae shamba la mbuzi tu.

Biashara unayotaka kuifanya kwa mtaji huo ni kidogo sana, zaidi utaishia kufaidisha watu kwasababu hauna muda wa kuisimamia kwa karibu na mwisho utapanuka moyo bure tu.
 
Gari ya abiria isiyozidi thamani ya TSHS 15M, ni gari gani hilo mkuu?

Unaijua hiyo biashara?

Una ufahamu na magari au dereva akikuambia gari imeua wheel cap zote nne inahitajika laki 8 kuitengeneza utaelewa?
Risk za magari unazitambua vizuri?

Janja janja ya madereva unazijua, kumbuka sio mke wala mchepuko wake utashindwa kula kuku kisa hela ya tajiri (hesabu ya bosi).

USHAURI
Fuatilia kwanza uijue hiyo biashara kwa undani,kisha upembue,ni biashara nzuri kama utaweza kui manage vizuri ikiwemo na kuloga ndani yake,itakulipa ukiivulia nguo kwamba lazima uifanye kwa njia zote,kiserikali,kiujanja janja na kiushirikina uliotukuka.
 
Dah gar ya m15 changamoto labda uongeze hela ununue ka nyau hiace kawe mwanza mjin tena ununue ambayo ipo njian maana njia dili na uwe na hela ya emergence ata m3 imekaa stabd by ukiskia boss gar imefanyaje fasta una solve sjui gear box chapu umenunua TRA mapato fasta umelipa tair imepasuka chapu umenunua mara gar imegongwa ila sio utegemee hesabu za gar uzungushie biashara hela utakua huion afu kuiona faida uwe na kuanzia gar 2 au 3 kwendelea
 
Wakuu salama.

Hii fursa nimeiona huku Kanda ya ziwa.

Kimsingi Mimi ni mtumishi wa Umma, zaidi ya mshahara sina chanzo kingine.

Sasa nimefanya tafakur na kuibuka na wazo la kuchukua mkopo CRDB ninunue gari ya abiria. Ikiwezekana niweke rut ya Geita DC - Geita town. au Katoro - Chato.

Wazo langu nipate gari ya pesa isiyozid mil. 15 ,mkopo huo uwe wa Miaka 7

Naomba ushaur , maoni n.k Kwa mwenye lolote juu ya Aina ya gari itayofaa. Changamoto ambazo nijiandae kukabiliana nazo n.k
Mrejesho tafadhari... Mambo yaliendaje bosi.
 
Wakuu salama.

Hii fursa nimeiona huku Kanda ya ziwa.

Kimsingi Mimi ni mtumishi wa Umma, zaidi ya mshahara sina chanzo kingine.

Sasa nimefanya tafakur na kuibuka na wazo la kuchukua mkopo CRDB ninunue gari ya abiria. Ikiwezekana niweke rut ya Geita DC - Geita town. au Katoro - Chato.

Wazo langu nipate gari ya pesa isiyozid mil. 15 ,mkopo huo uwe wa Miaka 7

Naomba ushaur , maoni n.k Kwa mwenye lolote juu ya Aina ya gari itayofaa. Changamoto ambazo nijiandae kukabiliana nazo n.k
Kama Bado hujafanya hii kitu nakushauri acha, kama ulifanya nakupa pole kwa magumu uliyopitia
 
Back
Top Bottom