Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
- Thread starter
- #21
kama isingeigwa soda ya coca na pesi zisingekuwepoBiashara haiigwi bali unatakiwa ufanye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama isingeigwa soda ya coca na pesi zisingekuwepoBiashara haiigwi bali unatakiwa ufanye
uwezi amini leo ndani ya nchi usafiri utoshelezi wa ndege juzi pression imepata itirafu imeshindwa kufika kahama yani mtu unapanda ndege dar to mwanza kisha una panda basi tena kuja kahama.Kuna ndege zaidi ya 4 zimepark
hivi mtanzania mwenzangu unatumia kutafakari haraka kama processor ya kompyuta au?Ethiopia wanafanyaje?