Habari zenu wanajamii.
Nimeanza maandalizi ya kufungua mradi wa usambazaji wa maziwa fresh kutoka kwa wakulima
hadi kwa walaji hapa mujini.
Natafuta storage facilities namaanisha tenki la ujazo wa lita kuanzia 1000 lenye uwezo wa kupoza maziwa kwa umeme wa
Tanesco or stand by generator.Naombeni kujua wapi yanapatikana either for renting or selling.
thanks
Nimeanza maandalizi ya kufungua mradi wa usambazaji wa maziwa fresh kutoka kwa wakulima
hadi kwa walaji hapa mujini.
Natafuta storage facilities namaanisha tenki la ujazo wa lita kuanzia 1000 lenye uwezo wa kupoza maziwa kwa umeme wa
Tanesco or stand by generator.Naombeni kujua wapi yanapatikana either for renting or selling.
thanks