Biashara ya Utengenezaji wa Mafuta ya Mawese

Biashara ya Utengenezaji wa Mafuta ya Mawese

Manosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
4,510
Reaction score
3,593
Habari Wadau,

Mimi nina mtaji wa 40m ninataka kufanya biashara ya kutengeze mafuta ya kula kutokana na mawese.
Nimejaribu kufanya utafiti wa malighafi Kigoma na Urambo tabora ipo ya kutosha.Eneo ya kiji-kiwanda nataka kuweka eneo la Kasulu Kigoma.

Pia nimekutana na wadau tofauti toka wizara ya kilimo,biashara na viwanda na watafiti na lishe bora

Target yangu kubwa nikusambaza mafuta mazuri kwa bei rahisi kwa wakaanga chips mijini.

Naombeni maoni yenu nini kifanyike zaidi.
 
Back
Top Bottom